Thamani ya hela Duniani

kelao

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
8,132
Reaction score
5,800
Wakuu nimekuta ubishi wa watu kijiweni wakibishana kuhusu pesa yenye thamani duniani. Wengine wakisema pound ipo juu, wengine dola ipo juu, wengine Euro ipojuu na mwingine anasema dinari ina thamani kuliko Pesa yeyote duniani. Sasa najua hapa jukwaani kuna kila aina ya elimu. Naomba tuelimishane ni ipi pesa yenye thamani kuliko zote duiani.. Shukurani kwa kila jambo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…