Wachezaji 10 ni nonsense. Namungo? Arusha combine?, Kotoko? Uturuki? Mbelgiji? mo? Vs Katwila, wazawa, daraja la kwanza.
Sisi matarajio yetu Kwa Simba ni makubwa sana. Kila Simba ikicheza lazima itafute bao 1 la Mo mdhamini, 1 wachezaji wa kigeni waliosajiliwa Simba, 1 la kocha mbelgiji, 1 la Uturuki, na moja la wachezaji wazawa akina bocco, kichuya.