William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #41
In two years utakuwa bilione? Sasa hawa wakina Maxence Melo waliopo kwenye game miaka mingi kabla yako sijui ni matrlionea sasa?
Ustaa wako unatokana na mshua wako
binafsi nakukubali le mutuz i hope pia unaweza kuwa mwalimu mzuri ktk industry ya online bussnez tupe skillz na ss ambao we are ambitius!
mkuu ivi una familia? Au umri wako labda?
- Haihusu na the topic labda uifungulie thread mpya hii haihusu kabisa au? ha! ha!
Le Mutuz
- Hapana I am fine kuna wakati nilidhani Wapinzani wapo serious hasa nikiwa nje, pamoja na mimi kuanzisha tawi la kwanza la CCM New York City, bado nilikuwa naikosoa sana CCM lakini baada ya kurudi hapa ndio nikaujua ukweli wa kila kitu kwamba Wapinzani sio wakweli kama wanavyojitangaza ndio maana nikaamua kujikita kwenye kukirekebisha chama changu zaidi kwa ndani kuliko in the public kama nilivyokuwa nafanya zamani, kwa kufanya vile ndio ukaona michango yangu imeenda chini ni kwa sababu ya kuonyesha big support kwa chama changu so it ok ina maana ninafanya kazi njema sana na guess what Chama changu hatimaye kimeutambua mchango wangu hapa na kunipa heshima ninayostahili.
Le Mutuz
- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.
- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.
MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1
Le Mutuz Big Show
Hapa sasa unaanza kukoroga mambo na kuonyesha UNAFIKI.- Hapana I am fine kuna wakati nilidhani Wapinzani wapo serious hasa nikiwa nje, pamoja na mimi kuanzisha tawi la kwanza la CCM New York City, bado nilikuwa naikosoa sana CCM lakini baada ya kurudi hapa ndio nikaujua ukweli wa kila kitu kwamba Wapinzani sio wakweli kama wanavyojitangaza ndio maana nikaamua kujikita kwenye kukirekebisha chama changu zaidi kwa ndani kuliko in the public kama nilivyokuwa nafanya zamani, kwa kufanya vile ndio ukaona michango yangu imeenda chini ni kwa sababu ya kuonyesha big support kwa chama changu so it ok ina maana ninafanya kazi njema sana na guess what Chama changu hatimaye kimeutambua mchango wangu hapa na kunipa heshima ninayostahili.
Le Mutuz
- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.
- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.
MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1
Le Mutuz Big Show
- Kabla ya kuandika maneno kama haya muwe mnafanya utafiti kwanza hivi unajua kwenye blog ikiwekwa habari za kufunguliwa Chuo Kikuu wanapitia wananchi 5 tu in 30 minutes ila ukiweka Wema Sepetu hajalala usingizi wanapitia WATU LAKI MOJA in 30 minutes, sasa niambie mwenye makosa hapo ni nani kwa haya mawazo yako?
Le Mutuz
Umaarufu wakujipendekeza kupiga picha na wale vinuka mkojo au??- Jamani heshima mbele sana, naomba kuwashukuru sana Jamiiforums I mean JF nimetoka nayo mbali sana na imenifikisha mbali sana na wala sio siri leo ninafahamika kila kona ya Tanzania kwa sababu ya kuanzia hapa JF, nilianza kwa majina ya bandia nikawa maarufu sana and then nikaamua kujitoa mwenyewe kama nilivyo na kuendelea kuwa maarufu, umaaurufu ambao kwa sasa unanilipa sana big time hapa mjini, sasa Mungu anasema ni muhimu sana kukumbuka ulipotokea ndio maana ndugu zangu nawapa shukrani zangu na leo nitaichangia JF Shillingi 200,000.00 za bongo.
- Again najua kwamba wengi wetu hapa tuna itikadi tofauti na sometimes tunakwaruzana sana, lakini najua kwamba wote tuna nia njema sana ya kulisimamia taifa letu, again naomba kuwaomba ,msamaha wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno yangu na nawasamehe wale wote walionikwaza ingawa mwendo ni ule ule tu, lakini again naomba kutoa heshima yangu kwa JF kwamba bila you JF nisingekuwa Le Mutuz making big bucks from online business najua wengi hivi karibuni wamekuwa wakiniombea kuwa Bilionea nawaahidi kwamba in 2 years tu nitakuwa kwa sababu nipo kwenye the right tracks.
MUNGU AIJALIE JF THIS IS MY HOME NA THIS IS MY BASE ALWAYS!! AND LUV YAH ALL!1
Le Mutuz Big Show
mi nakaa kimara kona lakini sikufahamu.
Bahati mbaya sio tatizo la tanzania tu...dunia nzima udaku ndio habari zinazolipa....Ata umu jf ni wangapi wanaotembelea jukwaa la lugha,afya au technology
hapo kwenye udaku hivi kama una habari ya udaku celebrities wa kibongo ukiwauzia magazeti au blogs za udaku unalipwa na kama ndiyo kwa kiasi gani.
Umaarufu wakujipendekeza kupiga picha na wale vinuka mkojo au??