Thank You Jamiiforums I am A Big Star and Big Celebrity Cause of You Leo Nitaichangia Tsh. 200,000!!

Mkuu Safi sana na Hongera sana kwa kukumbuka ulipo toka!

Umeonesha mfano Mzuri!

- Kaka usiwe na wasi wasi kuna wakati ulikuwa hunielewi naona siku hizi umeanza kunielewa sawa sawa inatakiwa kuwa na akili sana kichwani ili kunielewa U know!!

Le Mutuz
 
- Kaka usiwe na wasi wasi kuna wakati ulikuwa hunielewi naona siku hizi umeanza kunielewa sawa sawa inatakiwa kuwa na akili sana kichwani ili kunielewa U know!!

Le Mutuz
Hahahahaha Mkuu mimi huwa natoa ushauri ninapo ona panatakiwa na kwenye jambo la maana natoa Hongera kama hili la leo!

Hongera sana.
 
- Sasa imagine maisha yangu yote majuu nilikuwa sina hela kabisa ya kuweza kuchangia nimekuja kuwa nazo bongo yaani wee wacha tu!! ha1 ha! ha!

Le Mutuz

Le baharia nimekuvulia kofia yani unawachezesha watu midundo unayotaka na ni lazima wacheze.

kama kawaida hii ni page ya tano sasa wananchi wanatiririka haters wanapata stress kabisa.

Ingawa mimi najuwa umeshachangia pesa zaidi ya hii laki mbili lakini ulichokifanya ni wake up call kwetu wengine tuwe na thanks giving pia.

nakuahidi kuanzia kesho nitakuwa mmoja wa visitors wa blog yako to show my solidarity na nawashauri wana jf wengine tupigane tafu wenyewe.

juu kwenye thread chini weka link ya kuingilia kwenye blog yako, chuki ni ugonjwa mbaya sana na unauwa binadamu mapema kabla ya siku zake.
 
Mokoyo, - No way nimetoa shukrani tu kwa chombo kilichonifkisha nilipo in one way so nipo sana kama kawa!!

Le Mutuz

Kwa sasa ushakua mtu mzima pamoja na shukura zako nzuri kwa jf uache utoto wa kupiga picha keki kwenye bithday yako na kuzituma kwa id nyingine mambo hayo yamepitwa na wakati we mtu mzima ukue sasa!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa ushakua mtu mzima pamoja na shukura zako nzuri kwa jf uache utoto wa kupiga picha keki kwenye bithday yako na kuzituma kwa id nyingine mambo hayo yamepitwa na wakati we mtu mzima ukue sasa!!

Huo utoto ndio unaomwingizia pesa, je wewe umezuiwa? by the way na wewe unachangia mtonyo kiasi gani? mana mkono mtupu haulambwi.
 
- ha! ha! ha! ha! yaaani we acha tu umeona kule Isnta mabebz wa ukweli wanavyozimikia the big party ya Le Big Show U know, I mean I am down sana U know!!! ha1 ha! ha! ha! I love it!1

Le Mutuz

U know kuna watu wanapigapiga kelele tu,hawajawai kusikia party kama hiyo,ila sasa watakubali ughaibuni ulikwenda kuchukua ma-creativity ya ajabu.
 
Hakika mkuu!
 
Huo utoto ndio unaomwingizia pesa, je wewe umezuiwa? .......i.

Word up Matola , Wamesahau kwamba " Hate the game not a player". Tunalaumu kutumia mikono kwenye basketball kwa sababu tuna football game in mind. Kila game ina sheria zake na kuwa na mafanikio inabidi tuzijue na tujue jinsi ya kuplay. Big up Le mutuz, it takes a brain to understand you
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa ushakua mtu mzima pamoja na shukura zako nzuri kwa jf uache utoto wa kupiga picha keki kwenye bithday yako na kuzituma kwa id nyingine mambo hayo yamepitwa na wakati we mtu mzima ukue sasa!!

- Jamani kwanza naomba kukusaidia ile Birthday nilifanyiwa na ile Hotel bure kwa heshima ya Le Mutuz Big Show, na pili zile picha zilipigwa na wafanyakazi wa blog yangu na kuziweka Blog picha unazisema zimechukuliwa kwenye my Instagram na kueltwa huku muda huo sina mkuu, usichukie kaka mbona kama hunipendi kihivyo umekuja kuchangia hii thread? I mean hata wewe unashobokea maana this is Le Big Show na wewe hapa unaweza kuonekana ndio maana ya kucheza the game na Celebirty kama mimi The King of all bongo network Social Media ok!!

- Relax man mambo bado subiri sasa The Instagram Party itakuwa ni balahaaaahhh U know!!

Le Big show
 


kuna jamaa alisema eti kila akitembea Barabarani na kukuta kinyesi basi huwa anakukumbuka kweli...
 
- Sasa imagine maisha yangu yote majuu nilikuwa sina hela kabisa ya kuweza kuchangia nimekuja kuwa nazo bongo yaani wee wacha tu!! ha1 ha! ha!

Le Mutuz

Kitu kingine ninachokupendea Le mutuz uwa ni mkweli hujikwezi kwa kile ambacho huna.
Mi nilikuelewa mapema japo watu walikuwa wanakuona mjinga sasa watu wameaanza kukuelewa,
lakini umekosea kuwaelezea watu tactics zako unazotumia kuongeza followers we ungeacha watu waendelee kukuona kama huna akili wakija kushtuka kunakuwa kumeshakucha(ushakuwa billionea)
 
Mkuu nilikuona nakuona Akili hamna kichwani kumbe ndio unaongeza hela, bora hivyo kuliko wale wanaouza Madawa au ujambazi. Nimekuelewa vizuri sana kwenye ule Uzi ulioandika kuhusu Mbuta Nanga.

Big up...Le Mutuz You kno ha ha ha ha!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
hahaha hakya mungu mzee malecela mtoto kapata
 
kuna jamaa alisema eti kila akitembea Barabarani na kukuta kinyesi basi huwa anakukumbuka kweli...

- Well kama ninavyosema this online business ni kama biashara ya utumbo huwezi kukwepa harufu muhimu ni kwamba jana nimelipwa big check na Vodacom kwa kazi zangu za online, so ninapima matusi kama haya na ile check ipi Super U know? ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 

- Kaka mimi kwa kutumia tactics nilizosoma kwenye Criminology huwa ninatengeza Online addicts ambao no matter what ukishanisoma mara moja tu utarudia maisha yako yote so worry not nimeamua kusema ukweli nowa kwa sababu najua kwamba kuwa Bilionea sihitaji tena Online business nipo kwenye zingine now, anyway thanks kwa ushauri!1

Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…