Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Kweli mzee baba,kila la kheri kwa Jonas tulimuelewa sana lakini starehe zilimpenda zaidi,Binafsi naamini Mkude hajaisha kivile...Taarifa hi umetoa wapi
Taarifa hi umetoa wapi
Nungunungu inasemekana alikuwa na urafiki mkubwa na tungi.Kweli mzee baba,kila la kheri kwa Jonas tulimuelewa sana lakini starehe zilimpenda zaidi,Binafsi naamini Mkude hajaisha kivile...
Wakati huo Simba itakuwa ya Saba juu ya jkt TanzaniaKuna timu ikitumia akili ikawazoa baadhi ya hawa wachezaji wa "Thank You", ikaweza mazingira mazuri ya kuwatumia inaweza kujikuta msimu ujao inamaliza nafasi ya pili juu ya Yanga.
Hawa mafaza ndio sio wa kujaza kwenye timu wanakuaga wanajua kuliko kochaKuna timu ikitumia akili ikawazoa baadhi ya hawa wachezaji wa "Thank You", ikaweza mazingira mazuri ya kuwatumia inaweza kujikuta msimu ujao inamaliza nafasi ya pili juu ya Yanga.
Au sioKuna timu ikitumia akili ikawazoa baadhi ya hawa wachezaji wa "Thank You", ikaweza mazingira mazuri ya kuwatumia inaweza kujikuta msimu ujao inamaliza nafasi ya pili juu ya Yanga.
Huyu jamaa ni legend kwenye soka la bongo.
Au sio
Nyinyi mtakuja nafasi ya tatu au nne
Hafu hapo ubingwa anachukua Mashujaa au Ihefu?
Kwa nini umefikiri wamefukuzwa. Huu sio uDCSimba ni kufukuza wote
Phiri hajitumi?!Bado
Banda
Bocco
Sawadogo
Phiri* huyu hajitumi
Chama asiongezewe mkataba
Dau la kuvunja Mkataba na Sawadogo ni kubwa msimu ujao anakiwasha MsimbaziBado
Banda
Bocco
Sawadogo
Phiri* huyu hajitumi
Chama asiongezewe mkataba