Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Status
Not open for further replies.
Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
View attachment 229253


- Jamani ndugu zangu heshima mbele sana ni heshima kubwa sana kwa mimi Mwana-JF mwenzenu kukubalika sana na jamii lets all celebrate that, kwanza ilikuwa kampuni ya Cocacola walinitengenezea kopo sasa Gazeti maarufu la kisasa katika jamii yetu limenipa heshima ya kuwa kwenye Cover Magazine yake toleo la February/2015.

Ndani yake kuna historia nzima ya maisha yangu mpaka kufikia hapa nilipo ni kitu wanasema wanafanya na watu wenye influence kubwa na jamii tu, kwa kweli I am humbled sana so jamani msikose nakala ya Mwana JF mwenzenu si unajua mcheza kwao hutunzwa!


- Si unajua always kwamba umaarufu wangu na jamii ulianzia hapa hapa Jamiiforums, so please join me to celebrate this I mean the reward from the Society we live in, kwamba wanakubali kuwa nina influence kubwa sana na Jamii.

Le Mutuz..
 
Uache kuvaa mashati ya kufunika vitz, umjengee nyumba mama, uukane ushosti wako na kale ka Lulu, Instagram party zikome, upambe kwa njemba uwe mwiko, ili tukuchague jumuiya ya wazazi-CCM.

U know "politically immature!" Senseless stuffs matured!
 
Uache kuvaa mashati ya kufunika vitz, umjengee nyumba mama, uukane ushosti wako na kale ka Lulu, Instagram party zikome, upambe kwa njemba uwe mwiko, ili tukuchague jumuiya ya wazazi-CCM.

U know "politically immature!" Senseless stuffs matured!

- Well, unasema niache kutembea bila kuvaa mashati au what sijakuelewa vizuri, halafu ungeweka nyumba ya mama yako kwanza ndio ungekuwa na nguvu ya kuongelea nyumba za mama wa wengine, Super Star Lulu Michael is my super friend hivi hapa tumeanza kuchaguliana marafiki siku hizi? Infact natayarisha another party yaani "The All White Party Phase Two" at Escape One mwisho wa mwezi ujao, sijawahi kuwa Mpambe nina marafiki tunaofanana, Jumuiya ya Wazazi kumbe ni yako wewe una cheo gani huko? hahahahahaha

- I hope nimekusaidia mkuu hahahaha

Le Mutuz
 
Ndo tushaanza kuja tayari wadau!

Atatuelewa tu siku moja, hatujawahi kukata tamaa kwenye habari ya kumnyoosha huyu babu yetu!

- hahahaha Mnanisaidia kukubalika na jamii na haya ndio matunda yake and I love it si niliwaambia page 10 kila topic yangu mnaniongezea umaarufu unaona sasa hata magazeti ya jamii yanakubali I am humbled U know!1

Le Mutuz
 

We babu kwa kujifariji hujambo!

Kuhusu mashati umenielewa bila shaka, Lulu ni anapaswa kuwa mjukuu wako basi katika urafiki wako na Lulu tunataka usawiri ubabu na ujukuu na sio ushosti.

Swala la kumjengea mama nyumba sitachoka kukupigia kelele najua ipo siku utanielewa tu we mbabu.

Ninarudi punde ngojea....!
 

Ingawa si hafiki some stafs of urs, ila i dont watu kuzungumzia mama wa wenzao.....by the way, hii ni mara yako ya kwanza kuuza sura kweny majarida……?
 
Ingawa si hafiki some stafs of urs, ila i dont watu kuzungumzia mama wa wenzao.....by the way, hii ni mara yako ya kwanza kuuza sura kweny majarida……?

- Hapana nimeshatokea sana kwenye media ila this one is very special cause ni serious paper lenye nia ya kuwatumia wale tu wenye influence kubwa na jamii ndio maana hii ni special.

Le Mutuz
 

- Honestly huna point, zaidi ya kelele za mlango which siku zote I love it cause zinaishia kujaza page 10.

Le Mutuz
 
- Hapana nimeshatokea sana kwenye media ila this one is very special cause ni serious paper lenye nia ya kuwatumia wale tu wenye influence kubwa na jamii ndio maana hii ni special.

Le Mutuz

Unaweza nambia Jarid lip kubwa umetokea zaidi ya hili……?
 
Umetisha mukubwa....endelea kuchapisha mengine...nisalimie LuLu,pia nipe kadi niingie kwenye hiyo part babu kubwa....
am out
 

- hahahaha next online

Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…