Thanks God..Thanks to all JF friends !!

Thanks God..Thanks to all JF friends !!

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]

Hongera sana Mamito, May GOD bless you and your family muishi maisha marefu yenye amani na furaha siku zote. Ubarikiwe
 
Hongera sana...Sa jioni tutakuwa wapi, Kawekamo au Nyamanoro?
 
Hongera sana dada, na mimi namshukuru Mungu kwa ajili yenu, Mungu azidi kuwapigania, kuwalinda na kuwatunza. Awe neema ya kuishi maisha ya kumpendeza yeye, awape furaha na amani siku zote. Tusisahau pia sisi hapa duniani ni wasafiri na wapitaji, kwa hiyo Mungu awape neema ya kumaliza safari hii ktk hali ya utakaso. Mbarikiwe sana.
 
Hiyo cheers tunafanya individually au unatualika ikulu?
Dah....hongera FL1.......

BTW: Saa 08.39am ni usiku?
 
Hongera sana FL1 mungu aendelee kuwaongoza na kuwaangazia baraka zake ..miaka hiyo kwa sasa si haba
 
Hongera sana Mamito, May GOD bless you and your family muishi maisha marefu yenye amani na furaha siku zote. Ubarikiwe

Asante sana MJ1 kwa baraka zako ,na iwe hivo sasa na hata milele
namuomba mungu aendelee kutuongoza till end of time ..
Ubarikiwe
 
Hongera sana dada, na mimi namshukuru Mungu kwa ajili yenu, Mungu azidi kuwapigania, kuwalinda na kuwatunza. Awe neema ya kuishi maisha ya kumpendeza yeye, awape furaha na amani siku zote. Tusisahau pia sisi hapa duniani ni wasafiri na wapitaji, kwa hiyo Mungu awape neema ya kumaliza safari hii ktk hali ya utakaso. Mbarikiwe sana.

Asante sana LD...leo nimeamka najisikia furaha sana ..i wish ingekuwa weekend nikakaa na membaz wa JF angalau tukafanya Cheers na kubadilishana mawazo asante kwa kusisitiza maisha ya utakatifu siku zote..
Be blessed
 
Hiyo cheers tunafanya individually au unatualika ikulu?
Dah....hongera FL1.......

BTW: Saa 08.39am ni usiku?

Hahahah RR naomba mchango wako wa kimawazo kwa jinsi nilivyo na furaha lolote laweza kufanyika ..
 
Hongera sana mama wa kwanza..........Mungu awaongezee maisha marefu ya ndoa yenye furaha na amani. Mungu awajalie watoto wengine kama mpendavyo wakaizunguke meza yenu ya chakula.
 
Hongera sana mama wa kwanza..........Mungu awaongezee maisha marefu ya ndoa yenye furaha na amani. Mungu awajalie watoto wengine kama mpendavyo wakaizunguke meza yenu ya chakula.

KBD kama ulikuwepo kwenye mawazo yangu ..nataka watoto zaidi ya 12 mie mungu anijalie hili ....asante sana kwa baraka zako
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]


":third:Go confidently in the direction of your dreams. Live the life you have imagined."

Hakika umetimiza. Mungu akuzidishie.
 
Hongera sana na kila la kheri kwa changamoto zijazo.
 
Hongera sana mamii, Mungu azidi kumwaga baraka na upendo katika ndoa yako, haijalishi hata kama anasafiri au yuko mbali, cha muhimu ni kujielewa kwamba ana family yake inayomuombea na kumpenda, zidisha upendo kwa mumeo mara difu uone mafanikio yake, maisha haya tunayoishi yana kila aina ya mazengwe , cha kujiuliza ni vipi tunayaruka haya mabonde na milima na kuendeleza libeneke
Mwisho nakutakia Anniversary njema with full of love.....
 
Hongera Sana Mkwe ngoja kwanza nipigepige misele kwanza maeneo ya Capripoint huku nikitoka naenda Ghana, Bwiru na Kirumba kucheki washikaji halafu nitakuja Malaika
 
":third:Go confidently in the direction of your dreams. Live the life you have imagined."

Hakika umetimiza. Mungu akuzidishie.

asante sana CPU nimefurahi ha ha ha
 
  • Thanks
Reactions: CPU
kila la kheri my dear, Mungu abariki familia yako.
 
Hongera sana mamii, Mungu azidi kumwaga baraka na upendo katika ndoa yako, haijalishi hata kama anasafiri au yuko mbali, cha muhimu ni kujielewa kwamba ana family yake inayomuombea na kumpenda, zidisha upendo kwa mumeo mara difu uone mafanikio yake, maisha haya tunayoishi yana kila aina ya mazengwe , cha kujiuliza ni vipi tunayaruka haya mabonde na milima na kuendeleza libeneke
Mwisho nakutakia Anniversary njema with full of love.....

Asante sana Gaga kwa maneno mazuri na yenye nasaha njema
ni kweli maisha tunayoisha sasa yamejaa matukio mengi na ya kustaajabisha
Sitaacha kupiga goti langu mchana na usiku wote kuomba ulinzi wake mola uendelee kuizunguka familya yangu
asante Gaga
 
Back
Top Bottom