FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #61
Hongera na tunaomba baraka tele kwako na familia yako..kumbuka.. Familia yako na upendo wako ni kama bustani ya maua yachanuayo na kupendezesha macho..nyuma yake ni kazi nzito ya kufanya bustani iendelee kuchanua maua.. Basi ongeza Muda, Juhudi, Busara na Mauhusiano bora ili Maua yaeendee kuchanua daima!
Happy 4[SUP]th[/SUP] year anniversary!
Hongera sana my dear FL1
Kumbe bado mchanga sana kwen ndoa eeh.....LOL
Keep on walking the good, blessed life....
Baadaye basi tutete kidogo....
Lovely babu Asprin ile vocha uliyonambia unanitumia mpaka sasa haijaingia ??ama unatania ...
Safi Sana fl1 na endelea kuwa na moyo huo na Mungu akujalie kwenye ndoa yako idumu zaidi.
Hebu cheki na Kabuche....Nilituma kwa M-Pesa
ha ha kwani Kabuche ndo ana kibanda cha Voda ...:A S 114:
HAPPY 4th ANNIVERSARY, 4 years ktk ndoa si mchezo. Hongera sana First Lady!....1stLady, Happy 4th Anniversary..! AM HAPPY FOR YOU!!!...Mw'Mungu awazidishie uwezo, furaha, amani, upendo, afya, na matumaini!
1.HONGERA SANA SANA,UBARIKIWE.
2.SI WOTE WALIOPO KWENYE NDOA HUIKUMBUKA SIKU KAMA HIIII !!!!!!!!!! KWANINI??? KWA SABABU NI SIKU ILIYOWAINGIZA KWENYE MATATIZO MAKUBWA..........UNA BAHATI WEWE KWAKO NI SIKU ILIKUINGIZA KATIKA NEEMA NDIO MAANA UNAIKUMBUKA...HONGERA .
3.KUNA NDOA HATA MWAKA HAZIFIKI,.........NA ZILE ZINAZOFIKIA MWAKA NI DALILI NJEMA KUWA ZITAENDELEA......MILELE
4.UMESEMA VEMA KUWA MUNGU ALIKUWA PAMOJA NA WEWE,NI KWELI, SASA MRUDISHIE MUNGU UTUKUFU...UKIENDA KWENYE NYUMBA YA IBADA USISAHAU KUTOA SHUKRANI. HATAKUACHA KUWA PAMOJA NAWE MWAKA WOTE UNAOFUATA.
5.UKIPITA MWAKA BAADA YA KUFUNGA NDOA UNAANZA KUONA TRUE COLOURS ZA MWENZAKO,UNAANZA KUSHANGAA KUWA HEEE HUYU YUKO HIVI???? MIJADALA MINGI HUWA KWANINI HUKUNIAMBIA????........Ha ha ha ha,najua umeona na kupata rangi ulizozitegemea na kuzipenda kwa mwenzio UMEMPATA MUME MWEMA VINGINEVYO USINGEKUMBUKA LEO,KUNA ANAEPENDA KUKUMBUKA MAUMIVU????? .HONGERA KWA KUFANYA UCHAGUZI SAHIHI.
6. NYIE WENGINE WANA JF VIPI??????? AU WOOOOOOOTE MPO SINGLE??????.(SWALI HALIHITAJI JIBU.....JIJIBU MWENYEWE)
NAKUTAKIA MAISHA MEMA YA AMANI NA RAHA.
HAPPY 4th ANNIVERSARY, 4 years ktk ndoa si mchezo. Hongera sana First Lady!
Hongereni Mungu awajalie baraka na maisha marefu ya fanaka na furaha. Mr Kabuche 1977 nakupongeza kwa kumtake care FL vizuri endelea kuwa mwaminifu katika ndoa yako. Nawatakia mafanikio ya mapacha 3 mwakani Febr.
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:
omba sana Mungu akusaidie maana safari bado ni ndefu sana ......binadamu tunabadilika sana.......
HAPPY 4th ANNIVERSARY, 4 years ktk ndoa si mchezo. Hongera sana First Lady!