sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Sasa yapata mwezi mmoja [net].. tangu watoto wadogo wajaribu kumchezea sharubu mnyama mkali mwituni pengine kuliko wote, Simba.
Honestly, huu mwezi huu uliopita umekua mgumu na mrefu sana kwetu.
Nachoshukuru "tatizo" lililotusibu mpaka watoto wadogo wakajaribu kutuchezea [nasema walijaribu kwa kua simba hua hajaribiwi kamwe.. nasisitiza hua hajaribiwi.. nadhani mmenielewa] tumeliona.. na tumeliondoa.
Swali: How??
Jibu : Ni siri ya kambi.
17.12.2016 mnyama mkali mwituni pengine kuliko wote, Simba, anarejea tena mawindoni.. Na our next target ni Ndanda FC. Na hii itakua ni katika mzunguko wa pili wa VPL.
ANGALIZO:
Kua makini unapokutana na mnyama Simba... ila kua makini zaidi unapokutana na Simba aliyejuruhiwa.
Honestly, huu mwezi huu uliopita umekua mgumu na mrefu sana kwetu.
Nachoshukuru "tatizo" lililotusibu mpaka watoto wadogo wakajaribu kutuchezea [nasema walijaribu kwa kua simba hua hajaribiwi kamwe.. nasisitiza hua hajaribiwi.. nadhani mmenielewa] tumeliona.. na tumeliondoa.
Swali: How??
Jibu : Ni siri ya kambi.
17.12.2016 mnyama mkali mwituni pengine kuliko wote, Simba, anarejea tena mawindoni.. Na our next target ni Ndanda FC. Na hii itakua ni katika mzunguko wa pili wa VPL.
ANGALIZO:
Kua makini unapokutana na mnyama Simba... ila kua makini zaidi unapokutana na Simba aliyejuruhiwa.