Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Niliwahi kutoa maada kuhusu dawa ya KIKOHOZI tatizo lililokuwa linamsumbua ndugu yangu!
Rubi alitoa ushuhuda wake mwenyewe na kuanza kuufanyia kazi!!
Kwa kweli MUNGU ametenda miujiza sasa hivi huyu ndugu yangu ameanza kuacha kukohoa bila kutumia dawa zaidi ya KUNYWA MAJI MENGI awezavyo na MATUNDA!!
Ahsante Rubi MUNGU akubariki na wana JF wote!!!
BIG THANKS kwa GREAT THINKERS!!!
Rubi alitoa ushuhuda wake mwenyewe na kuanza kuufanyia kazi!!
Kwa kweli MUNGU ametenda miujiza sasa hivi huyu ndugu yangu ameanza kuacha kukohoa bila kutumia dawa zaidi ya KUNYWA MAJI MENGI awezavyo na MATUNDA!!
Ahsante Rubi MUNGU akubariki na wana JF wote!!!
BIG THANKS kwa GREAT THINKERS!!!