The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Madomo zege na watu wengine wa kawaida technolojia inazidi kuturahisishia mambo kila kukicha, sio katika maisha ya kawaida ya kila siku hadi kwenye utongozaji.
Nakumbuka zamani ulikuwa unatongoza mtu miezi 6 hadi mwaka bado hujawa nae.Kazi ya kutongoza sio mchezo, kumshawishi mtu mzima na akili zake hadi akukubalie.
Whatsapp, Facebook, Badoo nk zimeahirisha maisha, kazi kubwa ni kupata namba ya mtu tu, ukishaipata kazi imeisha. Hii mitandao imeondoa shida ya kuona aibu, shida ya kuviziana na kufuatana miezi 6.
Kwa tekinolojia ya sasa ukishindwa kupata mwanamke utakua sio udomo zege huo, unahitaji maombi ya kufunga na kulia, tena maombi ya mnyororo.
Ishukuriwe teknolojia.
Nakumbuka zamani ulikuwa unatongoza mtu miezi 6 hadi mwaka bado hujawa nae.Kazi ya kutongoza sio mchezo, kumshawishi mtu mzima na akili zake hadi akukubalie.
Whatsapp, Facebook, Badoo nk zimeahirisha maisha, kazi kubwa ni kupata namba ya mtu tu, ukishaipata kazi imeisha. Hii mitandao imeondoa shida ya kuona aibu, shida ya kuviziana na kufuatana miezi 6.
Kwa tekinolojia ya sasa ukishindwa kupata mwanamke utakua sio udomo zege huo, unahitaji maombi ya kufunga na kulia, tena maombi ya mnyororo.
Ishukuriwe teknolojia.