Washikaji, nashindwa kukung'uta thanks na like za uhakika kwa kuwa natumia mobile device.
Niko Kamsamba, porini huku nafanya kazi za braza Ngiswe, kutorosha mabinti wa watu.
Nawapendeni wote, nina "like" comments kibao, lakini sina jinsi.
Adumu Bujibuji, adumu kila JF memba, na yadumu mapenzi yanayomfanya kila mmoja awe mwehu na mjanja kwa wakati huohuo.