kwahiyo bado unao weengi ila ulichojitahidi tu ni kua na upendo wa dhati kwao si ndiyo ama?sikuwah kuwa na upendo wa dhati ktk maisha yangu kwa wanawake, but tangu nimeanza kutumia hili jukwaa la mapenzi nimejifunza mengi
Mwanakondoo mmoja anaporudi zizini!
Ni furaha iliyoje.....
<br />bravo.... Nenda kapime VVU... uteletee majibu. ndio tutakuona sasa umekua... na umrejee Muumba wako
Hello JF!
Nilikuwa mtu wa kubadili wanawake kama nguo, sikuwahi kuwa na upendo wa dhati ktk maisha yangu kwa wanawake, but tangu nimeanza kutumia hili jukwaa la mapenzi nimejifunza mengi na nimebadili mwelekeo wa maisha yangu ya kimapenzi kwa kiasi kikubwa!
GOD bless u!!