M i nimekua nikifiki mbele ya hii shule na hata dasa nilo hapa Lena Hotel but be honest naona hii shule ina maendelwo sana tofauti na zamni. sasa hizi wAko na gari ya shule na magorofa yameongezeka tofaufi na zamani
Ni kweli nameweka ndugu zake na watoto wake, yule mtoto wake masnoor sasa hivi ndio Bursar wa pale. Plus ameajiri waalimu wengi wa kiganda ambao hawana uwezo. Anawachukua kwa sababu ni cheap labour
Kama Mansoor ndio Bursar basi ndio sababu mambo kuwa hovyo hovyo maana yule kijana uwezo wake kichwani hauridhishi na ana kiburi sana. Alikuwepo Bursar mmoja simkumbuki jina ila tulikuwa tunamwita Eduado tukimfananisha na baba yake Angelo kwenye tamthilia ya The Promise. Tulikuwa tunamfananisha na Eduado kwa upole,ucheshi,huruma na alikuwa mshauri mzuri sana na mwenye majibu ya Busara sana. Hata wazazi wetu wengi walikuwa wanatupeleka pale kwa ajili ya mvuto wake. Kuhusu walimu wa Uganda,nasikia yule Headmaster ndio anashindikiza waletwe hao walimu baada ya kukosa ajira.
Nan kakudangany walimu wa KIGANDA hawana uwezo, mmojawapo n MR.HUSSEIN IBRAHIM KASINGA the best teacher in history subject for 4m 5&6. Mwaka 2011 ndo alishik namb 1 mkoan mwanza ktk matokeo ya ACSEE kwa somo la HISTORY, Mwulze swal lolote lle kuhux history ye anafumua mpk miaka & mifano kameza. Kamwe cntomsahau ht material yake alonfundsha hapo THAQAAFA nk2mia kweny presentation hp chuo kikuu Prof. anabak kinywa waz afu makof ya nguvu. Walm wa kiganda kwa uchum ndo wanafunka, Mganda E.Africa ndo anaongoz kwa kufany vzur maxom ya uchum, uchum walkuw wanapasua 80&above afu matcha wa kiganda wanakata xn uchum.
Mr.KASINGA kamwe cntomsahau maishan mwangu HISTORY anaiwez mpk alkuw ak2mia video kufundshia mf.TOPIC YA DICTATORSHIP N GERMAN etc, GOD BLESS MR.KASINGA
Duh..! haya sasa ni mahaba.
Hii ni shule ya kiislam?
Nan kakudangany walimu wa KIGANDA hawana uwezo, mmojawapo n MR.HUSSEIN IBRAHIM KASINGA the best teacher in history subject for 4m 5&6. Mwaka 2011 ndo alishik namb 1 mkoan mwanza ktk matokeo ya ACSEE kwa somo la HISTORY, Mwulze swal lolote lle kuhux history ye anafumua mpk miaka & mifano kameza. Kamwe cntomsahau ht material yake alonfundsha hapo THAQAAFA nk2mia kweny presentation hp chuo kikuu Prof. anabak kinywa waz afu makof ya nguvu. Walm wa kiganda kwa uchum ndo wanafunka, Mganda E.Africa ndo anaongoz kwa kufany vzur maxom ya uchum, uchum walkuw wanapasua 80&above afu matcha wa kiganda wanakata xn uchum.
Mr.KASINGA kamwe cntomsahau maishan mwangu HISTORY anaiwez mpk alkuw ak2mia video kufundshia mf.TOPIC YA DICTATORSHIP N GERMAN etc, GOD BLESS MR.KASINGA
Nan kakudangany walimu wa KIGANDA hawana uwezo, mmojawapo n MR.HUSSEIN IBRAHIM KASINGA the best teacher in history subject for 4m 5&6. Mwaka 2011 ndo alishik namb 1 mkoan mwanza ktk matokeo ya ACSEE kwa somo la HISTORY, Mwulze swal lolote lle kuhux history ye anafumua mpk miaka & mifano kameza. Kamwe cntomsahau ht material yake alonfundsha hapo THAQAAFA nk2mia kweny presentation hp chuo kikuu Prof. anabak kinywa waz afu makof ya nguvu. Walm wa kiganda kwa uchum ndo wanafunka, Mganda E.Africa ndo anaongoz kwa kufany vzur maxom ya uchum, uchum walkuw wanapasua 80&above afu matcha wa kiganda wanakata xn uchum.
Mr.KASINGA kamwe cntomsahau maishan mwangu HISTORY anaiwez mpk alkuw ak2mia video kufundshia mf.TOPIC YA DICTATORSHIP N GERMAN etc, GOD BLESS MR.KASINGA
thaqaafa ni jembe siwezi isema vibaya maana ndio imenipa msingi mzuri wa elimu shule haitaki lelemama lazima ukaze kamba ndio utaona mafanikio!
Shule kwel n nzur ina maghorofa & kla k2 vkiwemo vtabu vzur & vng vya kujxose vya kiada & ziada, Lakn jiulze maghar hayo yana2mika kubeba wanafunz au yapo km mapambo 2.
Hii ni shule ya kiislam?
Kwanza nianze kwa ku declare kuwa mimi ni zao la wanafunzi wa kidato cha sita katika shule hii iliyoko katika katika jiji la Mwanza. Nina miaka zaidi ya miaka mitatu toka niondoke Mwanza hivyo nilikuwa sijapata nafasi tena ya kutembelea shule yangu hadi majuzi nilipoenda kumpeleka mdogo wangu kuanza shule kidato cha tano.
Wale wanaoifahamu shule hiyo ilikuwa ukiingia tuu katika ofisi za shule hiyo utakuta mipangilo iliyo na mvuto na heshima kuu kwa wote,lakini jambo nililoliona ni kuwa majibu ni ya kiburi kiburi na hata spirit ya wafanya kazi imeshuka sana. Mambo yako kienyeji mno,hupati maelezo yakutosheleza unapohitaji kujua kitu na dharau imeshika kasi. Waalimu waliokuwa wanatufundisha wakati ule wakiwa na nyuso za matumaini sasa hivi wanaonekana kama wale wa kata kule kijijini wanaosubiri kwa hofu mwisho wa mwezi wafuate mishahara mjini. Kihalisia hawana mvuto na ndio maana baada ya kutoka hapo nilifuatilia maendeleo ya taaluma kwa miaka hii ya karibuni na nilishtuka sana kuwa sio Thaqqafa secondari ile niliyosoma. Ukweli ni kuwa inapotea kwenye ramani. Tatizo ni nini?
Wana Thaqaafa tuliosoma pale na wadau wengine tufanyeje tuiokoe shule isipoteze heshima kiasi hiki?
Hii ni shule ya kiislam?
Ogweo je?
Nan kakudangany walimu wa KIGANDA hawana uwezo, mmojawapo n MR.HUSSEIN IBRAHIM KASINGA the best teacher in history subject for 4m 5&6. Mwaka 2011 ndo alishik namb 1 mkoan mwanza ktk matokeo ya ACSEE kwa somo la HISTORY, Mwulze swal lolote lle kuhux history ye anafumua mpk miaka & mifano kameza. Kamwe cntomsahau ht material yake alonfundsha hapo THAQAAFA nk2mia kweny presentation hp chuo kikuu Prof. anabak kinywa waz afu makof ya nguvu. Walm wa kiganda kwa uchum ndo wanafunka, Mganda E.Africa ndo anaongoz kwa kufany vzur maxom ya uchum, uchum walkuw wanapasua 80&above afu matcha wa kiganda wanakata xn uchum.
Mr.KASINGA kamwe cntomsahau maishan mwangu HISTORY anaiwez mpk alkuw ak2mia video kufundshia mf.TOPIC YA DICTATORSHIP N GERMAN etc, GOD BLESS MR.KASINGA