strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Nan kakudangany walimu wa KIGANDA hawana uwezo, mmojawapo n MR.HUSSEIN IBRAHIM KASINGA the best teacher in history subject for 4m 5&6. Mwaka 2011 ndo alishik namb 1 mkoan mwanza ktk matokeo ya ACSEE kwa somo la HISTORY, Mwulze swal lolote lle kuhux history ye anafumua mpk miaka & mifano kameza. Kamwe cntomsahau ht material yake alonfundsha hapo THAQAAFA nk2mia kweny presentation hp chuo kikuu Prof. anabak kinywa waz afu makof ya nguvu. Walm wa kiganda kwa uchum ndo wanafunka, Mganda E.Africa ndo anaongoz kwa kufany vzur maxom ya uchum, uchum walkuw wanapasua 80&above afu matcha wa kiganda wanakata xn uchum.
Mr.KASINGA kamwe cntomsahau maishan mwangu HISTORY anaiwez mpk alkuw ak2mia video kufundshia mf.TOPIC YA DICTATORSHIP N GERMAN etc, GOD BLESS MR.KASINGA
Hivi majitu kama wewe msio weza hata kuandika kiswahili vizuri mnafanya nini huko vyuoni'