The 10 most beautiful East Coast female radio presenters


Hahahaha...taratibu kamanda!
 

Wewe jamaa mbumbumbu sana hata hujielewi. Burundi and Rwanda are just one people separated by a political boundary (Burundi 85% Hutu 15% Tutsi, Rwanda 85% Hutu 15% Tutsi).

Sasa inakuwaje Rwanda ndio warembo zaidi name Burundi ndio Sura mbaya zaidi? Wengine wenu hububuja tu maneno bila kuelewa wanachosema.
 
Bongo lazima tuponde coz tumezoea mkorogo kila sehem, kwngu mimi naona hawa mabinti ni wazuri sana tu. wengi wanasema ni wa kawaida coz hawana fake hair, sio weupe, na kwa waliopaka make-up basi kwa mbali. Ninachowasifia mabinti wa kenya hadi kesho ni KUJIAMINI nothing is more attractive.
 
Yes they are real beautiful; ni wazuri sana.
 
Yani unamaanisha hao ndio beautiful!!! "d
 
Wanaume wa Kenya waache ukabila wajaribu kuoa kwa jirani yao Kagame wachanganye damu wazae watoto wazuri lakini wasipofanya hivyo sura zilezile zitajirudia.

Watizame watanzania tunaona makabila tofauti na hata mataifa tofauti ndio maana unakuta wengi wanamvuto.
 
Nyi watu hua mnalala kweli.... As the artcle says, from east coast mombasa, What gets you into becoming a radio presenter is your voice, your charming, your charcter, someone decided to rate them according to his own opinion(beauty is in the eyes.....), that doesnot mean they are the only female presenters in the coast...
wats wrong with you people, ati kenya is running out of beautiful people, kwani wanakufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…