The 2019 NBA Playoffs

Huu mchezo naufuatilia ata zaidi yako. Tena niko jirani kabisa na timu kubwa ya NBA ninako kaa.
Tabiri zako zote naona ni za mtu ambaye hafuatilii hii michezo kwa makini!
 
Naombeni link nifatilie online wakuu mvua imevuruga mambo..
 
End of 3rd, Warriors 83, Rockets 76....kazi baado sana!
 
24 seconds to go, Warriors 103, Rockets 98!
 
Huu mchezo naufuatilia ata zaidi yako. Tena niko jirani kabisa na timu kubwa ya NBA ninako kaa.
Sawa, unafuatilia zaidi yangu...debate closed. Pamoja na hilo Bucks na Blazers hawataziona FINALS ng'o, and you can take that to the bank.
 
Link jamani half time saizi..

Next time kama unatumia Android Based phoned, download Burma TV au Mobdro (hii unaitoa google siyo playstore).

Channel zote unazipata humo, ni kiasi cha kujua kama game iko ABC, TNA, NBA TV, ESPN nk, ukishajua unaitafuta humo unaangalia game bila shida.
 
Mkuu mbona hizo channel sizioni katika hizo app
 
Guys kuna Mjadala unaendelea kuhusu Waamuzi wa jana kutokutoa calls kwa Harden ikisadikiwa kwamba alichezewe fouls nyingi wakati akikosa zile step backs three shots,

Watu wengi wanasema alikuwa analazimisha landing kwenye miguu ya opponents na kujaribu ku create contacts, wengine wanasema alikuwa na haki ya kufanya hivyo hata kama Opponents alisimama wima a little bit refa alitakiwa kumpa free throws,

Nini Mawazo yenu juu ya hiyo issue
 
James Harden huyu jamaa ni mjanja mjanja sana, ata pointi anazo tupia nyingi huwa ni free throws.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…