The Agri-Market Project

The Agri-Market Project

Joined
Dec 2, 2013
Posts
25
Reaction score
17
Habari kwa nyote.

Mimi ni kijana niliyoiona changamoto ya soko la mazao kwa wakulima wengi hapa Tanzania na kwa bahati mbaya haiko Tanzania peke yake, na nafaham wengi wetu tumeiona na kukumbana nayo. Tumekua tukikutana na madalali kuanzia shambani mpaka sokoni na huu mwiba mkubwa ambao unafanya wakulima wasipate faida kubwa lakini hakuna uhakika wa soko

Mimi nimeamua kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili kwa kuwatoa participants wa kati wote kwa kumkutanisha mkulima na mteja au mchuuzi, kwa maana ya kumuwezesha mkulima kuona hali ya soko kwa maana ya prices na hali ya demand au trafic ya mazao sokoni. Na kumuwezesha mteja kununua bidhaa directly kwa mkulima bila kufunga safari. kuna mambo yafuatayo ambayo nmepanga kuyaadress kwenye project yangu.

i. mkulima aweze kuuza mazao kwa urahisi
ii. mzigo uweze kusafirishwa kumfikia mteja
iii. mzigo ufike ule ulionunuliwa, ikimaanisha quality and quantity
iv. kupunguza utapeli
v.naona mtu wa kati ni lazima awepo, na hapa nna mpango wa kuanzisha organisation itakayokua tanzania nzima kuhakikisha mzigo unafika kwa wakati na kwa ubora na kiwango kinachotakiwa.

Swali 1, ni mambo gani mengine ya kuangalia wakati naandaa PROJECT yangu ili niweze kufanikiwa kwenye jambo hili? (naomba issue yako unayoweza kuaddress iwe ni specific ili niweze kuelewa na kulitafutia ufumbuzi swala husika ili tutengeneze)

Swali 2, mambo niliyotaja hapo juu, yanaweza yasiwezekane kwa vigezo vipi? (ongea mawazo yako kwa uhuru kabisa aidha useme tatizo unaloliona wapi au majibu yako vipi kwa mawazo yako)

Lengo la project hii ni kumpa soko la uhakika mkulima, pia kumpa urahisi wa kulifikia soko. Lakini vyote ivi viwe kwa gharama ndogo sokon kuliko gharama kawaida yani kwama embe linauzwa 900 liuzwe 800 na kumuwezesha mkulima apate zaida nzuri yani kama alipat 400 kwa embe basi apate 500
 
Hiyo organization itakayoanzishwa ndiyo watakuwa wapigaji wapya. Pengine hiyo organization iwe na kazi ya kuratibu ubora wa bidhaa na kumuhakikishia mnunuzi juu ya ubora wa bidhaa. Lakini mambo mengine yanabaki kati ya mkulima na mnunuzi. Organization itakuwa ikitoza ushuru kwa kazi hiyo tu. Maana bila hivyo mkulima anaweza kumlaghai mnunuzi zidi ya ubora wa bidhaa hivyo kupitia taasisi hiyo itasaidia kwenye utatuzi wa changamoto hiyo. Hili linaweza kufanikishwa kwa kuunda online application ambayo litakuwa ni soko likiwakutanisha wauzaji na wanunuzi. Kazi ya taasisi itakuwa ni kugrade ubora wa bidhaa na kuweka bei husika kulingana na hali ya wakati husika. Hivyo basi mteja akilidhia kuna kuwa na namba ya mkulima itakayowezesha mawasiliano kati ya mkulima na muuzaji hasa kwa ajil ya miamala ya pesa. Hivyo organization yako itapaswa kuwa na storehouse ya mazao kwa wakulima watakaotaka kufanya biashara na taasisi yenu. Na mfumo unaweza kutoa notification kuwa transaction imefanyika na sasa mzigo umeshanunuliwa. Mteja atakuja kuchukua mzigo akiwa na visibitisho ambavyo watengeneza app watalifanikisha hilo. Kuhusu usafirishaji inaweza kuwa biaahara nyingine ambayo taasisi wanaweza kuifanya kama wakipenda.
 
Nichukue siti ya pili hapa maana hilo Wazo ndio nalifanyia Kazi na nimeshatoka hii steji uliopo. Ila si mbaya kuongeza minofu kutoka humu
 
Hiyo organization itakayoanzishwa ndiyo watakuwa wapigaji wapya. Pengine hiyo organization iwe na kazi ya kuratibu ubora wa bidhaa na kumuhakikishia mnunuzi juu ya ubora wa bidhaa. Lakini mambo mengine yanabaki kati ya mkulima na mnunuzi. Organization itakuwa ikitoza ushuru kwa kazi hiyo tu. Maana bila hivyo mkulima anaweza kumlaghai mnunuzi zidi ya ubora wa bidhaa hivyo kupitia taasisi hiyo itasaidia kwenye utatuzi wa changamoto hiyo. Hili linaweza kufanikishwa kwa kuunda online application ambayo litakuwa ni soko likiwakutanisha wauzaji na wanunuzi. Kazi ya taasisi itakuwa ni kugrade ubora wa bidhaa na kuweka bei husika kulingana na hali ya wakati husika. Hivyo basi mteja akilidhia kuna kuwa na namba ya mkulima itakayowezesha mawasiliano kati ya mkulima na muuzaji hasa kwa ajil ya miamala ya pesa. Hivyo organization yako itapaswa kuwa na storehouse ya mazao kwa wakulima watakaotaka kufanya biashara na taasisi yenu. Na mfumo unaweza kutoa notification kuwa transaction imefanyika na sasa mzigo umeshanunuliwa. Mteja atakuja kuchukua mzigo akiwa na visibitisho ambavyo watengeneza app watalifanikisha hilo. Kuhusu usafirishaji inaweza kuwa biaahara nyingine ambayo taasisi wanaweza kuifanya kama wakipenda.
naelw
Hiyo organization itakayoanzishwa ndiyo watakuwa wapigaji wapya. Pengine hiyo organization iwe na kazi ya kuratibu ubora wa bidhaa na kumuhakikishia mnunuzi juu ya ubora wa bidhaa. Lakini mambo mengine yanabaki kati ya mkulima na mnunuzi. Organization itakuwa ikitoza ushuru kwa kazi hiyo tu. Maana bila hivyo mkulima anaweza kumlaghai mnunuzi zidi ya ubora wa bidhaa hivyo kupitia taasisi hiyo itasaidia kwenye utatuzi wa changamoto hiyo. Hili linaweza kufanikishwa kwa kuunda online application ambayo litakuwa ni soko likiwakutanisha wauzaji na wanunuzi. Kazi ya taasisi itakuwa ni kugrade ubora wa bidhaa na kuweka bei husika kulingana na hali ya wakati husika. Hivyo basi mteja akilidhia kuna kuwa na namba ya mkulima itakayowezesha mawasiliano kati ya mkulima na muuzaji hasa kwa ajil ya miamala ya pesa. Hivyo organization yako itapaswa kuwa na storehouse ya mazao kwa wakulima watakaotaka kufanya biashara na taasisi yenu. Na mfumo unaweza kutoa notification kuwa transaction imefanyika na sasa mzigo umeshanunuliwa. Mteja atakuja kuchukua mzigo akiwa na visibitisho ambavyo watengeneza app watalifanikisha hilo. Kuhusu usafirishaji inaweza kuwa biaahara nyingine ambayo taasisi wanaweza kuifanya kama wakipenda.
naelewa hoja zako na lengo langu kubwa ni nkumkutanisha mkulima na mnunuzi, ila siamini kama transaction za simu ni secured sana na naona kama zinaruhusu wizi na utapei. na app hii ikiwa ni ya kupost tu bidhaa hai
Hiyo organization itakayoanzishwa ndiyo watakuwa wapigaji wapya. Pengine hiyo organization iwe na kazi ya kuratibu ubora wa bidhaa na kumuhakikishia mnunuzi juu ya ubora wa bidhaa. Lakini mambo mengine yanabaki kati ya mkulima na mnunuzi. Organization itakuwa ikitoza ushuru kwa kazi hiyo tu. Maana bila hivyo mkulima anaweza kumlaghai mnunuzi zidi ya ubora wa bidhaa hivyo kupitia taasisi hiyo itasaidia kwenye utatuzi wa changamoto hiyo. Hili linaweza kufanikishwa kwa kuunda online application ambayo litakuwa ni soko likiwakutanisha wauzaji na wanunuzi. Kazi ya taasisi itakuwa ni kugrade ubora wa bidhaa na kuweka bei husika kulingana na hali ya wakati husika. Hivyo basi mteja akilidhia kuna kuwa na namba ya mkulima itakayowezesha mawasiliano kati ya mkulima na muuzaji hasa kwa ajil ya miamala ya pesa. Hivyo organization yako itapaswa kuwa na storehouse ya mazao kwa wakulima watakaotaka kufanya biashara na taasisi yenu. Na mfumo unaweza kutoa notification kuwa transaction imefanyika na sasa mzigo umeshanunuliwa. Mteja atakuja kuchukua mzigo akiwa na visibitisho ambavyo watengeneza app watalifanikisha hilo. Kuhusu usafirishaji inaweza kuwa biaahara nyingine ambayo taasisi wanaweza kuifanya kama wakipenda.
kwa nilivyokuelewa kwako umeona kua na taasisi nyuma ya hii app kutafanya mkulima asiwe na uhuru wa kutosha wakufanya biashara na ikawa kama dalali wa kidigitali. je unahisi changamoto iliyobaki baada ya kumkutanisha mteja na mkulima ni quality checking peke yake?
 
Nichukue siti ya pili hapa maana hilo Wazo ndio nalifanyia Kazi na nimeshatoka hii steji uliopo. Ila si mbaya kuongeza minofu kutoka humu
tuna kibarua kigumu sana, maana kilimo kina changamoto sana na nashauli majibu yako kwa hilo swala yawe yenye ubora na rahisi kutumia.. ukicreate demand ya project yako umefanikiwa. kama kuna msaada pahala nauomba especially kwenye matatizo ya kusolve
 
Back
Top Bottom