fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
The best solution in Kenya is for the army to overthrow Ruto and form a coalition Goverment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akili ninazoUna akili kweli??.
Sasa Kwa stahili hiiii ,kitakua na Serikali??.
Yaan ikishaingia Madarakani, Wapinzani waitishe maandamo, Jeshi likupindue.
Ukishaingia wee, Wapinzani wako waitishe maandamo, Jeshi likupindue [emoji38][emoji38][emoji38]
Duuuuh
jeshi lipindue nchi na kuweka serikali ya mudaUna akili kweli??.
Sasa Kwa stahili hiiii ,kitakua na Serikali??.
Yaan ikishaingia Madarakani, Wapinzani waitishe maandamo, Jeshi likupindue.
Ukishaingia wee, Wapinzani wako waitishe maandamo, Jeshi likupindue [emoji38][emoji38][emoji38]
Duuuuh
serikali imeshindwa dawa ni kupinduliwaUna akili kweli??.
Sasa Kwa stahili hiiii ,kitakua na Serikali??.
Yaan ikishaingia Madarakani, Wapinzani waitishe maandamo, Jeshi likupindue.
Ukishaingia wee, Wapinzani wako waitishe maandamo, Jeshi likupindue [emoji38][emoji38][emoji38]
Duuuuh
Trust me they can't dare... Wameshakula mlungulathe best solution in kenya is for the army to overthrow ruto and form a coalition goverment
Kwanini umewaza hivi sasa kama unazo mkuu?akili ninazo
Hilo halitakuwa Taifa yaani kila mkijisikia tu Rais atoke Jeshi Limtoethe best solution in kenya is for the army to overthrow ruto and form a coalition goverment
kaingia kwa wizi wa kuraHilo halitakuwa Taifa yaani kila mkijisikia tu Rais atoke Jeshi Limtoe
Kha! Kama kuna mambo ya msingi kuzungumziwa Yazungumzwe Hivi huyo Ruto kaingia Juzi tu Walitaka Afanyaje Kenya?
Kwahiyo Akiingia Odinga nae Walio upande wa Ruto waseme kaingia kwa wizi wa kura?kaingia kwa wizi wa kura
Hakuna kitu kama hicho. Jeshi Haliwezi kupindua nchi Kwa sababu Ruto hajavunja katiba ya nchi .jeshi lipindue nchi na kuweka serikali ya muda
Server ifunguliwe, yote yataishaZamani nikiwa mdogo nilidhani wakenya wanaakili sana Kwa sababu wanajua kuongea Kingereza baada ya Magufuli kuingia madarakani nikagundua kuwa wakenya ni wengi ni wapumbavu .
Jeshi lipindue nchi halafu unategemea wataiacha Ikulu.
Acheni Raila atawale muda wake ukiisha uchaguzi ufanyike wananchi ndio wataamua .
Raila amechaguliwa kihalali na kuapishwa baada ya mahakama kuthibitisha kuwa alishinda.
Ni upumbavu kudhani kuwa Ruto yeye Hana watu wanaoweza kuandamana .
Hivi Kwa mfano Raila afanikiwe kumtoa Ruto Kwa maandamano halafu Ruto naye aandamane Kupinga mwisho itakua ni Nini?
Nchi itakua kila siku ni kutoana madarakani Kwa maandamano .
Jeshi linatakiwa Lilinde heshima na hadhi ya nchi na Rais wake kama wanavyofanya Marekani ,Urusi, China, Korea, (Uingereza na malikia au mfalme wake mchovu[emoji1787] ) nk lakini sio kupindua nchi Kwa sababu ya mtu mmoja aliyeshindwa kwenye uchaguzi Juzi TU hata mwaka haujaisha .
NI wazo la kishetaniThe best solution in Kenya is for the army to overthrow Ruto and form a coalition Goverment
.The best solution in Kenya is for the army to overthrow Ruto and form a coalition Goverment
Hapo unazungumzia ukiwa Garisa🤔serikali imeshindwa dawa ni kupinduliwa
server ipi ifunguliwe ilhali ilishafunguliwa supreme courtServer ifunguliwe, yote yataisha