The Atheists Paradox

Hesabu za watoto hizi. Naona kama umeshindwa mjadala vile
 
I am bored by the discussions which do not help at all
I wanna turn to abortion issue.
You said killing a human being is wrong, which i think in principle is true.
Therefore, do you mean that a zygote is a human being?
Wewe si ndie umeshindwa kusaidia madai yako, sasa unakuwa bored kivipi, fanya research lete ushahid wa kutokuwepo kwa Mungu na sio kusakizia wenzako.
 
Nani alisema maneno haya?

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Malizia na aya mbili zinazo fuata. Usikimbie kama kawaida yako.
 
Kati ya Uislam wenye miaka zaidi ya 6000 hapa dunia according to you and Allah na wenye watu 1.4 Bilioni

na

Ukristo wenye miaka karibia 2000 hapa dunia na wenye watu Bilioni 3,

ni imani ipi INAPAA?
 
Last edited by a moderator:
Kati ya Uislam wenye miaka zaidi ya 6000 hapa dunia according to you and Allah na wenye watu 1.4 Bilioni

na

Ukristo wenye miaka karibia 2000 hapa dunia na wenye watu Bilioni 3,

ni imani ipi INAPAA?

Naamini umeitazama na umesikiliza vizuri na kwa utulivu yanayaosemwa katika hiyo tube.

Vipi ni vigezo/vipimo vya kuijua dini/imani ya kweli.?

Hoja yako hapa ni nini?
Kuwa wingi ndio ukweli?

Kama ni hivyo, niambie nani walikuwa wengi, waliompinga mjumbe wa Mungu, Yesu au waliomkubali alipowajia na ujumbe kutoka kwa Mungu?

Ishmael, usikimbie rudi ujibu hili swali na usimamie hoja yako ya Uwingi(wingi).
 
Malizia na aya mbili zinazo fuata. Usikimbie kama kawaida yako.
Ni nini/kipi usichokifahamu hapo?

Kuna only one true God, which is not Jesus Christ. Jesus is a messenger sent to kondooz za bwana.

Je Mungu anaweza kutumwa? Nani anawezakumtuma Mungu?

For I have not spoken on My own, but the Father Himself who sent Me has given Me a command as to what I should say and what I should speak.
John 12:49

Then Jesus explained: "My nourishment comes from doing the will of God, who sent me, and from finishing his work.
John 4:34


Ishmael Mungu anawezaje kuwa mtumwa, mtumishi au mpeleka ujumbe?

Kazi za kupeleka ujumbe ni kwa malaika kama Jibril(Gabriel) aliyetumwa kupeleka ujumbe kwa Bikira Maria au kazi hiyo hufanywa na wajumbe/ watumwa wa Mungu kama Abraham, Moses, Jesus, Muhammad nk.

Ishmael, Je Yesu alitumwa?
Nani alimtuma Yesu?

Je Yesu amewahi kumtuma aliyemtuma yeye?
 
Naona umeogopa kuweka aya inayo fuatia. Pole sana.
 
Naona umeogopa kuweka aya inayo fuatia. Pole sana.
Matthew 27:46 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").

Kwa nini Yesu anaomba msaada wa Mungu wa kweli hapa?

Alijisahau kuwa kwa porojo zako kuwa "yeye ni Mungu Mkuu"?

Mungu wangu Mungu wangu, naomba uniokoe...Yesu alisikika akipiga mayowe.

Ishmael mimi sikujua kuwa Yesu pia ana Mungu anayemwabudu.

Yesu alikuwa mcha-Mungu bana ona anapiga rakaa hapa.

Matthew 26:39 Going a little farther, he fell with his face to the ground and prayed, "My Father, if it is possible, may this cup be taken from me. Yet not as I will, but as you will."
 
Wapi hapo Yesu anaomba msaada? Hivi hata kusona sentensi ya kawaida inakushinda ndugu yangu. Jesus as 100% man was not asking for a help but asking a question?


Alijisahau kuwa kwa porojo zako kuwa "yeye ni Mungu Mkuu"?
Nope, you failed to comprehend a simple sentence.

Mungu wangu Mungu wangu, naomba uniokoe...Yesu alisikika akipiga mayowe.
Uongo wa kwanda huoooooooooooooo, "Translate the meaning of =forsaken="?


Ishmael mimi sikujua kuwa Yesu pia ana Mungu anayemwabudu.
Hata mimi siajwao ona Yesu akiabudu Mungu. Niletee aya niione.

Yesu alikuwa mcha-Mungu bana ona anapiga rakaa hapa.
Yesu kuuliza swali imekuwa kuabudu. Msiba huu
Sasa kuomba ni kuabudu? Unafahamu maana ya kuabudu na utofuti wake na kuomba? Lugha za watu hizi mwanawane.

SASA JIBU MASWALI UNAYO YAKIMBIA KILA SIKU:
MOHAMMAD ALIWABAGUA WAAFRIKA, KUWAFANYA WATUMWA NA KUWATUKANA KUWA NI SHETANI
Hakuna maovu ambayo 'mtume' wa allah hakufanya. Mengi ya haya maovu yamefichwa na uongo kuhusu mazuri aliyoyatenda ndio yamejaa kwenye vitabu vyao vya imani! Ole wenu, asiyeitumia akili aliyempa Mola wake kutafuta ukweli na kubaki tu kudanganywa na propaganda za Waislamu.
Ishaq: 243 ''
Mtume wa Allah akasema: "Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal." Alikuwa mtu MWEUSI mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.

Sahih Muslim 5:2334
Nabii akasema, "Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi."

Sahih Bukhari 1:11:664
Mtume akamwambia Abu-Dhar, "Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu."

Ishaq: 450''
Mtume akasema, "tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili."

Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11
Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.

Ishaq: 374
Mtume wa Allah akasema, "Jeshi na WATUMWA WEUSI wa Makka wakalia na Waislamu wakasema, Allah awaangamize enyi walaghai waovu."


Sahih Bukhari 9:87:161
Mtume akasema, "ndoto kuhusu WANAWAKE WEUSI ni ishara ya majanga."

Ishaq:243
Mtume akasema, "Hapa yuaja kukaa nanyi MTU MWEUSI mwenye nyele ndefu, mashavu mekundu na macho mekundu kama vyungu viwili vya shaba. Moyo wake ni mkaidi kuliko wa punda."

Ibn Musa al-Yahsubi, Qadi ‘Iyad, p.375
Ahmad ibn Abi Sulayman, mwendani wa Sahnun akasema, "yeyote atakayesema kuwa mtume alikuwa MTU MWEUSI yafaa auliwe."

Kwa taarifa zenu enyi ndugu zangu Waislamu Waafrika, haya sio maneno yangu, maandishi na vitabu vya Kiislamu yamejaa tele kwenye mitandao ikiwemo Google kwa utafiti zaidi.


Inashangaza ni kwanini mtu kama huyu anafuatwa na watu zaidi ya 1.4 billioni duniani pamoja na kuhubiri na kufanya machukizo kama haya. Inashangaza ni kwanini kuna vipofu wengi wa macho na akili.
Kumbe ndio maana Waafrika weusi waliopo katka nchi za Kiarabu wangali wanaishi kama watumwa na Waarabu wakiwa mabwana wao! Watu weusi wanajulikana kama ABDI yaani WATUMWA, kwa kila nchi za Kiarabu.

 
Hakun cha maana kwenye Sinema zako. Jaribu kutumia aya za Quran ambazo zimejaa shaka.
 
Kwa hiyo Yesu alikuwa anaomba?

Alikuwa anaomba nini?

Ishmael

Tafadhali mwanawane, Titafsirie hilo swali alilouliza Yesu. Na alikuwa anamuuliza nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…