The Awakening African Religion

The Awakening African Religion

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Hii ndiyo dini inayotufaa kwa sasa kama hawa hapa chini walianzisha dini zao za kikristu chini ya yesu ndani ya ulaya sasa na sisi WAAFRIKA tuanzishe zetu ndani ya AFRIKA.

Mimi ninaanzisha hii dini kwa WAAFRIKA wanaojitambua tu,weka hapa makala, maoni, picha, ushuhuda visivyo kashifu dini nyingine lengo likiwa ni kuwaamusha waafrikana waliopotea.

MISINGI:-
Msingi mkubwa wa dini hii utakuwa ni kuwaamusha WAAFRIKA kwa kuwakumbusha walikotoka na walipokosea na pia kurekebisha yale yote wanayodhani ni dhambi kwa kukaririshwa na wazungu.

LENGO KUU:
Lengo ni kuondoa unyonyaji unaoendelezwa na wakoloni weusi kupitia sadaka na zaka hasa kwakuwanyonya madikini wa fikira na mali waliowengi mbadala wake uwe ni kuwainua maskini wote kwa kuwawezesha kutokana na dini hii hivyo kuondoa SADAKA bali kuwapa WAO SADAKA kitu ambacho kinawezekana

WAUUMINI wa dhehebu hili wataweza kuwasaidia MASIKINI kwa kuwapa UWEZO WA KIMAISHA kupitia MICHANGO itakayopatikana katika IBADA zetu hakuna MASIKINI atakayelazimishwa kuleta PESA kanisani hadi atakapoweza kusimama kiuwezo ndipo na yeyevataanza KUWACHANGIA wengine kuweza kuwainua .
2023_11_16_15.22.49_edit.jpg
2023_11_16_15.23.08_edit.jpg
2023_11_16_15.23.26_edit.jpg
2023_11_16_15.23.38_edit.jpg
 
Si unaona ulovyo mpumbavu. Huku unajiponga na ule ushuzi wako uliouandika kule.
 
Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu
Kama wewe ni wa ukoo wa islam au sehemu ya waraabu basi hizo mila/dini ya islam ni halali yako kupitia humo kumuabudu Mungu.

Kinachoachwa hapa ni njia za kumuabudu Mungu ambapo Wafrikana wameacha zakwao na kufuata za wazungu na waraabu zenye mapungufu mengi sana i.e:biashar ya utumwa,ufiraji,nk
 
Si unaona ulovyo mpumbavu. Huku unajiponga na ule ushuzi wako uliouandika kule.
Ushuzi unatauona kwa sababu hujui kilichoandikwa na hakikuandikwa kwaajili yako bali kwaajili ya WAAFRIKA WALIOHAI KIFKIRA.

Mimi nimejaribu kujibu swali la mwisho kabisa kuulizwa ktk makala niliyoiweka hapo chini " je Waafrika tufanye nini ili kuamka"

Ukiielewa hiki kilichoandikwa hapa chini basi utakuwa umeanza kujitambua.
1701238618421.jpg
 
Mbona umesema dini halafu ukamtaje Yesu peke yake je wewe ni wakala wa mpinga kristo!
 
Kama wewe ni wa ukoo wa islam au sehemu ya waraabu basi hizo mila/dini ya islam ni halali yako kupitia humo kumuabudu Mungu.

Kinachoachwa hapa ni njia za kumuabudu Mungu ambapo Wafrikana wameacha zakwao na kufuata za wazungu na waraabu zenye mapungufu mengi sana i.e:biashar ya utumwa,ufiraji,nk

Za waafrika ni zipi hizo?
 
Kama hujui kuwa taratibu za kuishi za kabila/ukoo wako ndiyo DINI yako basi wewe ni MAREHEMU MWAFRIKA UNAYETEMBEA.

Iwapo diasporas wote waliopelekwa nje ya Afrika kama zao la watumwa na kuishi na unaowaona ni ndugu zako wamekaa na kutafakari na kugundua kuwa hawako sahihi na kuamua kutafuta asili yao na mila zao i.e: dini,kabila,majina,nk wewe ni nani hasa isiweze kuliona hili kama unaakili timamu za KIAFRIKA?

Ujinga ulio nao ni mkubwa sana kiasi kwamba hutaki kujiongeza ili kitafuta ukweli kama uko sahihi kupitia kwa ujinga wa wazazi wako waliokuambuza ujinga wao wa kukana ASILI YAO YA AFRIKA NA KUIGA .
 
Mbona umesema dini halafu ukamtaje Yesu peke yake je wewe ni wakala wa mpinga kristo!
Hilo lilikuwa ni swala la kujionheza tu na kuona kuwa Waafrikana wajinga wa Kiafrika walio wengi ni wanaomfuata yesu kuliko mohamed.

La msingi tu ni kujua kuwa ninyi wote NI WAAFRIKA WAFU WANAOTEMBEA KTK SWALA LA ASILI YA MWAFRIKA.
View attachment 2828585
 
Hilo lilikuwa ni swala la kujionheza tu na kuona kuwa Waafrikana wajinga wa Kiafrika walio wengi ni wanaomfuata yesu kuliko mohamed.

La msingi tu ni kujua kuwa ninyi wote NI WAAFRIKA WAFU WANAOTEMBEA KTK SWALA LA ASILI YA MWAFRIKA.
View attachment 2828585
Afrika Kuna wailsam wengi kuliko wakristo unajua kuhusu hili bwana mpinga kristo?
 
Hii ndiyo dini inayotufaa kwa sasa kama hawa hapa chini walianzisha dini zao za kikristu chini ya yesu ndani ya ulaya sasa na sisi WAAFRIKA tuanzishe zetu ndani ya AFRIKA.

Mimi ninaanzisha hii dini kwa WAAFRIKA wanaojitambua tu,weka hapa makala, maoni, picha, ushuhuda visivyo kashifu dini nyingine lengo likiwa ni kuwaamusha waafrikana waliopotea.

MISINGI:-
Msingi mkubwa wa dini hii utakuwa ni kuwaamusha WAAFRIKA kwa kuwakumbusha walikotoka na walipokosea na pia kurekebisha yale yote wanayodhani ni dhambi kwa kukaririshwa na wazungu.

LENGO KUU:
Lengo ni kuondoa unyonyaji unaoendelezwa na wakoloni weusi kupitia sadaka na zaka hasa kwakuwanyonya madikini wa fikira na mali waliowengi mbadala wake uwe ni kuwainua maskini wote kwa kuwawezesha kutokana na dini hii hivyo kuondoa SADAKA bali kuwapa WAO SADAKA kitu ambacho kinawezekana

WAUUMINI wa dhehebu hili wataweza kuwasaidia MASIKINI kwa kuwapa UWEZO WA KIMAISHA kupitia MICHANGO itakayopatikana katika IBADA zetu hakuna MASIKINI atakayelazimishwa kuleta PESA kanisani hadi atakapoweza kusimama kiuwezo ndipo na yeyevataanza KUWACHANGIA wengine kuweza kuwainua .View attachment 2822069View attachment 2822070View attachment 2822071View attachment 2822072
Sema Broo unachoongea upo sahihi sana dini tulizonazo nizawatuwajammii nyengine nawala sio jamii za afrika,ataukiangalia dini hizo zinatamatuni za uko kwao ata historia namaeneo ni yaupande wao.... Kabla ya dini hizo jiulize Afrika tulikuwa na dini gani,Na kama tusinge tawaliwa na waarabu na waingereza ungekuwa unaabudu nn kwa sasa....Tatizo letu ss tunaakili za kushikiwa sana tumeaminishwa kufananisha dini zetu za Kiafrika na Uchawi, lakini sisi tumeshidwa kufananisha dini zao na Utapeli na unyonyaji....Bro,kwa upande wangu nikuombe kitu kimoja tusianzishe dini nyengine apana Bali tutafute dini zetu za kiafrika ambazo zilikuwa na maadili yakiafrika sikiwa lugha zetu na sio lunga zawengine..[emoji1545]
 
Sema Broo unachoongea upo sahihi sana dini tulizonazo nizawatuwajammii nyengine nawala sio jamii za afrika,ataukiangalia dini hizo zinatamatuni za uko kwao ata historia namaeneo ni yaupande wao.... Kabla ya dini hizo jiulize Afrika tulikuwa na dini gani,Na kama tusinge tawaliwa na waarabu na waingereza ungekuwa unaabudu nn kwa sasa....Tatizo letu ss tunaakili za kushikiwa sana tumeaminishwa kufananisha dini zetu za Kiafrika na Uchawi, lakini sisi tumeshidwa kufananisha dini zao na Utapeli na unyonyaji....Bro,kwa upande wangu nikuombe kitu kimoja tusianzishe dini nyengine apana Bali tutafute dini zetu za kiafrika ambazo zilikuwa na maadili yakiafrika sikiwa lugha zetu na sio lunga zawengine..[emoji1545]
Uko sahihi.

Hapa nilimaanisha kuunganisha mila na tamaduni zetu kwa kuziandika pamoja kwenye kitabu kimoja halafu tukatafuta jina la pamoja i.e:AFRIKAN TRADITIONAL CHURCH
 
Uko sahihi.

Hapa nilimaanisha kuunganisha mila na tamaduni zetu kwa kuziandika pamoja kwenye kitabu kimoja halafu tukatafuta jina la pamoja i.e:AFRIKAN TRADITIONAL CHURCH
Yeah . Nikweli kabisa italemanufaa makubwa sana kwa Afrika sababu watu wengi sana wanapotoka nadini hizi ambazo zinatokomeza utamaduni wa Africa ...Hii inapelekea Umasikini mkubwa kwa waumini...Ningeomba wa Afrika wenzetu msitufikilie vibaya tunahitaji kutunza mila na desturi zetu,pia hata lugha zetu,uasili,historia..Hata Majina ya mshujaa wetu katika vitabu vyeti takatifu..Atupo kupinga dini nyingine .
 
Mambo ni mengi sana. Kwamba tuanzishe dini nyingine
 
Back
Top Bottom