Word Gaijin that fish banaa nahisi soon urafiki na udugu wangu na The Boss unaweza kupart ways....lol
Word Gaijin that fish banaa nahisi soon urafiki na udugu wangu na The Boss unaweza kupart ways....lol
TF atakuwa na tatizo la 'the grass always looks greener on the other side of the fence'
Afro,Husninyo,Sweetlady,Jux,kokuberwa,Kipipi....but the guy keeps asking
about Nemo kutwa....and Nemo is asking about me ...lol....
Yaani kumkabidhi fisi bucha utakuta hata mifupa hamna
hilo Boss si tatizo ni a fact of life
Wewe umepata mtu kakurushia hadi uzi na kuwaambia wanawake wote JF "wakukome" lakini wala husikii huoni kwa "a lost tiny fish"
alhamdulillah,karibu sikukuu kesho nyumbani kwangu.
ha ha ha wewe bana...
Sasa kama mimi ni two fish to choose..
dogo ana Catalougue yenye mpaka 'mermaid' but
anataka 'undugu ufe na kaka yake' kwa fish mwingine kabisa..lol
Two fish wapi wakati ushasema kupaishwa PM wewe ni routine 😛
usini quote vibaya...
hebu edit hapo...
unataka kisima changu 'kikauke' lol
hivi TF ana uwezo kununua yatch?
TF ana seduce wife of yatch onwers....umeona???
mwisho ana cruise for free lol
hivi Kipipi na Nemo nao wametumbukia kwenye nyavu za fisadi wa mahaba TF? Maskini!TF atakuwa na tatizo la 'the grass always looks greener on the other side of the fence'
Afro,Husninyo,Sweetlady,Jux,kokuberwa,Kipipi....but the guy keeps asking
about Nemo kutwa....and Nemo is asking about me ...lol....
hivi Kipipi na Nemo nao wametumbukia kwenye nyavu za fisadi wa mahaba TF? Maskini!
hivi TF ana uwezo kununua yatch?