ukitoka keko machungwa itafute kamata,ukifika posta chukua basi la masaki,njoo mpaka sea cliff ,shuka hapo , hayo ma apartment ya kushoto kwako ndo kwangu,karibu.
Hivi kwa hii avatar yangu watu mnapata picha gani?
AshaDii habari zako bana
Uzi wa bishanga umefikia mbali
Eid umeilia wapi?
ulimiss malumbano kati ya TF na kipipi,nataka sitaki,lol
alaaaaa,hujui eh? kungwi wako nani?
Nimeona hata uvivu kusoma... What did i miss? Mie pouwa. Mzima wewe....
mmmmh mr rocky iyo avator ni wewe?Sasa hapo nisemeje
au niseme Bishanga Mubarak
mmmmh mr rocky iyo avator ni wewe?