Guliano gemma alikuwa bonge la superstar enzi za sinema za ma cowboy( mfano 'one silver dolar) yaani ilikuwa ni farasi na bunduki kwa kwenda mbele (hata Ronald Reagan alicheza hizo movies),kina hemma malini,amitah bachan,rish kapoor ,mumtaz walikuwa ndo ma staa wa bollywood miaka hiyo.Tivoli sinema mwanza kiingilio kilikuwa senti hamsini,hahahahahaaaa those days meeeeeeeeen.Duh mkuu hapo nimetoka kapa hata kumpata mmoja hapo sijaambua
ngoja nitafute picha yake nikuwekee kabisa umuone
It's not a guessing game..nimesema kwasababu najua. Nimeshauliza baadhi na wote wana sababu ya kuchagua walizonazo. Jana tu nimeona sijui ni Maskini-Jeuri yule alisema kwanini amechagua avatar aliyonayo.
Wapo waoachukua avatar ni avatar ili tu wawe nayo au kwasababu inependezea machoni ila wapo wanaochagua zenye maana kwao.Hata kama ni ya ajabu kiasi gani.............bado yaweza kua na maana.
nidadavulie ya kwako basi,ya kwangu ni uhaya tu unanisumbua.It's not a guessing game..nimesema kwasababu najua. Nimeshauliza baadhi na wote wana sababu ya kuchagua walizonazo. Jana tu nimeona sijui ni Maskini-Jeuri yule alisema kwanini amechagua avatar aliyonayo.
Wapo waoachukua avatar ni avatar ili tu wawe nayo au kwasababu inependezea machoni ila wapo wanaochagua zenye maana kwao.Hata kama ni ya ajabu kiasi gani.............bado yaweza kua na maana.
Guliano gemma alikuwa bonge la superstar enzi za sinema za ma cowboy( mfano 'one silver dolar) yaani ilikuwa ni farasi na bunduki kwa kwenda mbele (hata Ronald Reagan alicheza hizo movies),kina hemma malini,amitah bachan,rish kapoor ,mumtaz walikuwa ndo ma staa wa bollywood miaka hiyo.Tivoli sinema mwanza kiingilio kilikuwa senti hamsini,hahahahahaaaa those days meeeeeeeeen.
Lizzy kamaliza kila kitu na Mr Rocky kashadidia vizuri kwenye post yake ya kwanza
Ama interest ama labda wanafanana na hizo Avatar.[/QUOTE]
Sitaki kusemea hapo kwenye blue
Lizzy kamaliza kila kitu na Mr Rocky kashadidia vizuri kwenye post yake ya kwanza
Ama interest ama labda wanafanana na hizo Avatar.
Sitaki kusemea hapo kwenye blue
sina tatizo na hoja yako,swali langu ni kutaka kuelewa maana ya hii trend,beauty kwa avatar za kina mama na ka ugly flan upande wa kina baba,ina maelezo hii?It's not a guessing game..nimesema kwasababu najua. Nimeshauliza baadhi na wote wana sababu ya kuchagua walizonazo. Jana tu nimeona sijui ni Maskini-Jeuri yule alisema kwanini amechagua avatar aliyonayo.
Wapo waoachukua avatar ni avatar ili tu wawe nayo au kwasababu inependezea machoni ila wapo wanaochagua zenye maana kwao.Hata kama ni ya ajabu kiasi gani.............bado yaweza kua na maana.
kwa raha zenu mkuu,mimi ni kazini,rose garden,nyumbani,kazini,breakpoint,nyumbani.......Thank you bro kwa ufafanuzi wako
Amitah kidogo nimemsikia sikia na kipindi hicho namsikia bado zile kumbi za dar za Avalon cinema au Empress cinema bado zinafanya kazi
Kwa sasa ndio hao akina Nick Cannon , Steven Siegal, Omarion, Christina Milan na wengineo wengi tuu wanatamba
nidadavulie ya kwako basi,ya kwangu ni uhaya tu unanisumbua.
Hutaki kusemea kwa nini eeee
kwa raha zenu mkuu,mimi ni kazini,rose garden,nyumbani,kazini,breakpoint,nyumbani.......
maua? ya pink? haya bana,karibu
sina tatizo na hoja yako,swali langu ni kutaka kuelewa maana ya hii trend,beauty kwa avatar za kina mama na ka ugly flan upande wa kina baba,ina maelezo hii?
Yangu naipenda kwasababu huyo dada ni natural all the way...hajajicarolite (kitu ambacho sifagilii kabisa) but mostly ni hilo pozz.
Nikiiangalia hua nahisi kama najianjgalia mwenyewe maana most of the time ukinikuta nimekaa iwe nyumbani au hata darasi utakuta nimeweka mkono wangu kama huyo dada. Pozz la kutafakari hilo....
Naogopa kutoa reality ya what i have and what implied by my avatar