Nimeipenda sana hii Harusi, natamani nikishapata mwenzi wangu nifunge nae ndoa ya hadhi hii.
If you look the pics careful you'll see the ladies are so cute and beautifully.
It is a wedding style to be emulated by this tanzanian dot com generation; because it is relatively cheaper and it generates employment in the country!
It is a wedding style to be emulated by this tanzanian dot com generation; because it is relatively cheaper and it generates employment in the country!
U have to be creative sio kila kitu tunaiga from USA maana hata europe harusi zao huwa ni ndogo sana na ni watu muhimu tu wanaalikwa. Bongo harusiinaharimu hadi milioni 30....per one night wakati hata nyumba ya kuishi hamna....
Harusi nzuri sana...hii...cheaper.....by looking lakini hizi arts za kibongo hasa clothes zinakuwaga gharama sana...japo hazifikii suti moja ya mlimani city....kwanza inaweza kuwa suti moja ni sawa na gharama ya bibi na bwana harusi....kwa harusi hii..teh teh teh:clap2: Nimeipenda kwa kweli no much make up.....watu wanakuwa natural..
Nimeipenda sana this is the beauty of african wedding simply beautiful and natural nimepnda mavazi yao pia kuhusu gharama unaweza kushangaa ni tofauti tunavyofikiria