The Beauty of African Wedding

cpu eee???
Kaka mimi nitafurahi hasa endapo tukianza kufanya harusi za namna hii, itakuwa nafuu sana kwa watanzania wengi kiuchumi. Na hata wenye hela wataiga wakiona zinavutia sana
 
Wonderful!
Mzee wa AfricaSana alikuwa anaoza bintiye!

kuweka kumbukukumbu sawa kaka huyu si mwanae..yeye alikuwa muwezeshaji tu..bi harusi ni dada yake na mwenzi wangu mama gaude...ushanifahamu !!!
 
Tatizo tulilo nalo sisi waafrika ni kupenda kuiga, tukiacha kuiga tukafata mila na desturi zetu pengine tutaweza kufanya kitu fulani, harusi hiyo ukiuliza imegharimu bei gani , unaweza ukakimbia jinsi ilivyokula mapesa, hongera zenu maharusi
 
Duuuh! Maria Roza unawajua mpaka majina??? Ulikuwepo nini??

Maria rosa zebu ni pm nikualike kwenye harusi yangu maana naoa mdogo wa Mija mie..uwepo kuhanikiza vigelegele tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…