ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 253
- 270
Habari wadau, ni matumaini yangu mko vyema kabisa,
Kwa jina naitwa ProMagufuli.
Napenda kuleta hoja kama kichwa kinavyosema.
Kufuatia uchaguzi wa serikali za mitaa tumeweza kujionea yaliyotokea. Umefanyika uporaji mkubwa wa demokrasia.
Sasa kama wanajamii forum ni nini kifanyike ili kuweza kuzuia hii hali isije ikajirudia kwenye uchaguzi mkuu. Nadhani kama taifa tumejifunza yaliyotokea 2019 na 2020.
Sasa watu binafsi, asasi za kiraia Wana mpango gani ili kunusuru taifa na yalitokea nyuma yasijitokeze tena 2025.
Najaribu kuwaza kwa sauti, hakuna namna inaweza kufanyika ili haya mambo yafikie ukomo. Ni nini kinatukwamisha Kama taifa
Mwisho nipende kutoa rai yangu kwa vyama vya siasa viache ubinafsi waangalie maslahi mapana ya nchi yetu.
Waweze kuwa na msimamo wananchi wa kuwaunga mkono wapo.
Pia wasichoke kuwapigania wajinga. Ili kuweza kumshinda CCM inapaswa tuungane kama taifa. Tukiendelea kuwa kimakundi ni ngumu kutoboa tuache kulalamika.
Kwa sasa Niko Mvumi Dodoma, muwe na jioni njema.
Kwa jina naitwa ProMagufuli.
Napenda kuleta hoja kama kichwa kinavyosema.
Kufuatia uchaguzi wa serikali za mitaa tumeweza kujionea yaliyotokea. Umefanyika uporaji mkubwa wa demokrasia.
Sasa kama wanajamii forum ni nini kifanyike ili kuweza kuzuia hii hali isije ikajirudia kwenye uchaguzi mkuu. Nadhani kama taifa tumejifunza yaliyotokea 2019 na 2020.
Sasa watu binafsi, asasi za kiraia Wana mpango gani ili kunusuru taifa na yalitokea nyuma yasijitokeze tena 2025.
Najaribu kuwaza kwa sauti, hakuna namna inaweza kufanyika ili haya mambo yafikie ukomo. Ni nini kinatukwamisha Kama taifa
Mwisho nipende kutoa rai yangu kwa vyama vya siasa viache ubinafsi waangalie maslahi mapana ya nchi yetu.
Waweze kuwa na msimamo wananchi wa kuwaunga mkono wapo.
Pia wasichoke kuwapigania wajinga. Ili kuweza kumshinda CCM inapaswa tuungane kama taifa. Tukiendelea kuwa kimakundi ni ngumu kutoboa tuache kulalamika.
Kwa sasa Niko Mvumi Dodoma, muwe na jioni njema.