The Beem Developer Challenge

Mtangoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
6,167
Reaction score
5,613
Leo nimepokea Ujumbe wa hii challenge. Binafsi sitapata nafasi ya kushiriki, nikaona ni vyema niwashirikishe wengine watakaokuwa na muda na wangependa kushiri.
Naona kuna zawadi ya mpaka 3.5mil TZS. Sio kubwa lakini kwa mwenye muda na Passion fedha hii inatosha hata kununua vitu vichache kujipongeza 😉

Anyway maelezo yapo kwenye hiyo video chini.

NOTE:
Kimsingi sijui chochote kuhusu hii kitu wala mimi sina uhusiano wowte na hii kitu. Nawashirikisha tu taarifa na si zaidi ya hapo!


Link: Beemathon - Beem Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…