The Best FIFA Football Awards 2019: Messi atwaa tuzo ya Mchezaji bora, Klopp awa Kocha bora

Bernado Silva amebeba - EPL, FA CUP, LEAGUE CUP na hilo kombe la UEFA ulilolisema tena yeye akiwa ndie mchezaji bora wa mashindano nani anastahiki zaidi?
Kwa kweli jana FIFA wamechemka, mimi mpaka leo nashindwa kujuwa vigezo. Navyojuwa inaangaliwa msimu mzuri kwa mchezaji mwaka ule sio history. Ok ni kweli Messi ni mchezaji bora sana lakini hakufanya vizuri mwaka huu lakini wamempa na mbaya zaidi jana bahasha haijafunguliwa Messi kishafika nyuma ya stage je majibu yanapangwa? nisieleweke labda simkubali Messi hapana ni bora sana tu lakini sio mwaka huu. tuache huko FIFA 11 eti Marcelo kachaguliwa jamani kwa lipi? kuna full back 2 za Liverpool walikuwa bora kabisa mwaka huu. Marcelo??? team 4 za EPL zilikuwa final leo wanakuja wanasema wachezaji wawili wa Ajax sababu tu walikuwa na msimu mzuri kuisaidia Ajax nusu final sasa wale waliofikisha team zao final? Sadio Mane kaisaidia Liverpool ubingwa wa ulaya na Senegal final za Africa nje. kweli nimeamini Nike na Adidas ndio wanaushawishi mkubwa. ndio maana Ronaldo jana hata kwenda hakwenda utasema aliambiwa Messi atapewa ingekuwa VVD angeenda. FIFA watuambie tu vigezo ni nini? eti Modric sijui Marcelo kwa lipi hasa team zao wanapigwa bench hii kuwakosea heshima wachezaji wengine. Ramos alikuwa na msimu mbovu na Real eti beki bora hapana kwa maoni yangu jana sio sawa. Messi mchezaji mzuri duniani? Yes. je mwaka huu alikuwa best? NO
 
Dah ko cr7 hata kwenye kikosi bora cha fifa hayupo
Yuko ila hakwenda jana ndio maana wakataja wachezi kumi tu jamaa hataki ujinga yule. Vipi mtu kama Benardo Silva na Mane walikuwa na msimu mzuri sana tu wote nje.
 
Mbona hao UEFA hawakumpa? maana haya yote kayafanya Europe ije kuwa FIFA ambao hatujui vigezo vyao.
 
Vigezo na mashariti yalizingatiwa
 
Lionel Messi last season(2018/2019):

Europe top scorer[emoji818]

Barcelona top scorer[emoji818]

Champions League top scorer[emoji818]

La Liga top scorer[emoji818]

Barcelona most assists[emoji818]

La Liga most assists[emoji818]

Most La Liga MOTM awards[emoji818]

Most UCL MOTM awards[emoji818]

Most chances created[emoji818]

Most goal contributions in the top 5 leagues[emoji818]

Most points won for his team in the top 5 leagues[emoji818]

Most free-kick goals[emoji818]

Most braces[emoji818]

Most hat-tricks[emoji818]

Top scorer Vs Top 6 EPL teams[emoji818]

Contributed to 74/96 team[emoji818]

goals [emoji818]

UCL most man of the week[emoji818]

UCL best Forward[emoji818]

UCL goal of the tournament[emoji818]

Pichichi award(la liga golden shoe) [emoji818]

6th European Golden shoe 2019(record)[emoji818]

Most goals outside box[emoji818]

La Liga MVP[emoji818]

ESPY Best international Men's

Soccer Player of the year[emoji818]
 
De jong
Modric
Marcelo
Ramos
Kwenye kikosi bora cha mwaka wanafanya nini humo..?
Eriksen
Robertson
B.Silva
Mane ... wamehuniwa hawa watu.
 
Bernado Silva amebeba - EPL, FA CUP, LEAGUE CUP na hilo kombe la UEFA ulilolisema tena yeye akiwa ndie mchezaji bora wa mashindano nani anastahiki zaidi?
Hii ni tuzo ya mchezaji bora, juhudi kubwa hasa ya mchezaji inaangaliwa.

Kama ishu ni kubeba makombe basi hata Xavi, Sneidjer, Iniesta wangekuwa na hii tuzo.
 
Aaaah watajuana wenyewe. Shenzi tuuu...🤗🤗
 
Nashkuru!
 
mkuu hayo yote kwa lionel messi si maajabu tena kwake kuyafanya.

wesley sneijder
frank ribery
van virgil
andres iniesta and xavi

hawa wanadamu kwa nyakati tofauti wameshindwa kutendewa haki
Walishawahi kuwa na hizo statistics? Tuletee hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…