Fellas, what is the best way to breakup with your girlfriend/ boyfriend? By email, phone (sms), phone call, face to face, or do you just give him/her the silent treatment until she/he figures out what's up?
hahaha!ha ha ha ha The :A S crown-1: hii ni face to face, phone call, au SMS?
Lazima uwe na uhakika kama hii :fencing:kweli unaiweza bila hivyo :car:iwe karribu sana.....hahaha!
hii ni uso kwa uso mkuu..........!
na gestures nyingi mno
lakini hapo lazima kwanza :A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
Lazima uwe na uhakika kama hii :fencing:kweli unaiweza bila hivyo :car:iwe karribu sana.....
na kama hajahitaji muonane ameomba umweleze kwa simu hivyohivyo na akaitikia sawa,nawe tumuweke kundi gani huyu?The Best way ni face to face kama una guts za kuongea naye...maana ukitumia phone call,email or sms lazima tu atahitaji muonane umueleze kilichojiri........why...kwa nn???
Wachache sana watu kama hawa......na kama hajahitaji muonane ameomba umweleze kwa simu hivyohivyo na akaitikia sawa,nawe tumuweke kundi gani huyu?
BWANA WEE SIKILIZA BWANA ...KAA VIPI CHAPA MWENDO BWANA
DEM GANI WEEE BANA!!...kila mshkaji nini akija nini akipiga ndogondogo nini UNAMVULIA TU,dah!kama vipi sio inshu unawezza ukatamba-tambaaaaaaaaaaa
Hii nilazima uwe unaishi pale manzese midizini ama kwa mfuga mbwa! Sasa Gentleman kama Bala na NN wanaweza mwaga mboga kwa style hii kweli?
Nafikiri inabidi uwe unafanya kwa stages!kwanza unafanya silent treatment, then una mface ili myamalize!Hii ni kumfanya mwenzio asiumie sana na awe tayari amashajiandaa saikolojikali kupokea hiyo taarifa!ukilifanya kwa haraka na kutumia lugha ya moja kwa moja unaweza ukamuua mwenzio kwa pressure!!!!!!
BWANA WEE SIKILIZA BWANA ...KAA VIPI CHAPA MWENDO BWANA
DEM GANI WEEE BANA!!...kila mshkaji nini akija nini akipiga ndogondogo nini UNAMVULIA TU,dah!kama vipi sio inshu unawezza ukatamba-tambaaaaaaaaaaa
hallaf mbona hujaniadd kwenye fb?mweeeeeeeeeeeee hatari namna i!!!!!!!!
km juz nilivyompiga fidodido kibut ???
hallaf mbona hujaniadd kwenye fb?
Ur right.There is no BEST WAY to breakup there are just different ways of saying it.. Go with what works for you and do it...