The bottom of the barrel

Ila haya madeni yapo muda mrefu sana...

Cha kujiuliza.. why now? And not before?


Cc: mahondaw
 
If we really are at the bottom so soon than that is good news for everybody.
"Cause we can"t go any further down, we 'll soon be going up, safi sana.
 
You have nailed it bro
 
Okay unapotaka kufanikuwa kibiashara lazima uongeze wigo wa biashara beyond our borders sasa law firm zetu zikiwa bankrupt kwa kukosa kazi za kufanya saba u ya nchi kuwa low business activity naona mambulula wengi wa lumumba wana amini umaskini ndo uzalendo multinationals firms they pay well than the local why dont u people leave businesses to find their financial freedom and add value to u economy
 
Leaders of this country are not reflecting our society because we didn't agree many thing done by them but they didn't listen, how come when they fail you, you combine us with their massive failure?
 
Referring the US professor, Mr James Watson ,"Africans are the least grade of mankind".
Tanzanians are being deceived that, the President purchased new Planes from Canada and the US, these are pathetic people ever.
Can a new plane get off its engine less than a year since it got purchased.






 
Tundu Lisu has been always addressing the matter stipulated hereinabove but they ignored his Kind words. Haya ndiyo matokeo yake. Surely, I'm so excited for what SAA did to us.
Tundu Lissu hatukumsikia kuzumgumzia haya,hili ni tukio lilitokea wakati wa Mkapa kama sijakosea wakati ATC ya wakati ule iliingizwa ubia na SAA,kwanza ilikuwa Kenya Airways ,lakini wajuaji wa wakati ule wakaona SAA ndio inauwezo mkubwa kibiashara,na hatimaye ndio ukawa mwanzo wa Kenya Airways kuingia ubia Precision Air ni mambo ya 2008 ndio yanakuja kuibuliwa leo,kumlaumu Magufuli eti kanunua ndege wakati ilikuwa bado huku ni kukosa akili, ni sawa na kusema sababu mwanafamilia wako mmoja ana madeni basi usifanye jambo la maendeleo au usijenge au kununua gari sababu wadai wake watakuja jukamata mali zenu,hapa napingana na hao akina Nyani Ngabu na wengine,hayo mambo ya kusema oh tulikuwa bado kwa visingizio vya kitotot ni kukosa umakini,kushikwa mali za nchi ni jambo la kawaida kokote duniani,sasa kama unaogopa kuthubutu utakuja kufanikiwa lini,wengine ndio wameshafanya mtaji wa kisiasa,haya mambo ya kushikwa mali za serikali au kupigwa mnada na wawekezaji hayajaanza leo,wakulaumiwa ni wale walioifanya Tanzania shamba la bibi na kuingia mikataba isiyo na macho kwa ajili ya vijisenti,lakini hiyo istufanye kufanya maamuzi yetu wenyewe,ndege zitanunuliwa sana,nchi haitakaa kamwe iache kununua ndege kisa akina Nyani Ngabu wanaona bado wakati wa kununua ndege,sijui lini ndio wataona ni muda muafaka,halafu wengine tumekuwa kama wehu na huyo Lissu eti hatukumsikia `lisu tutamsikiaje msaliti ambaye kwa ubinafsi anazunguka dunia kutufitini na wahisani ,hiyo misaada anayotaka tusipate ndio inasaidia hata kumtibu baba,mama,babu na ndugu zake na Watanzania wengine.
 
Kwamba IMMMA ADV. wana taarifa, nguvu na weledi kuishinda serikali yetu. Hebu tuumize mbogo zetu badala ya kunaribu kujibanza kwenye shina la karanga.
 
Kwamba IMMMA ADV. wana taarifa, nguvu na weledi kuishinda serikali yetu. Hebu tuumize mbogo zetu badala ya kunaribu kujibanza kwenye shina la karanga.

Unaelewa maana ya sabotage? Unafikiri Serikali haijui nani yuko nyuma ya hii sabotage? Unafikiri nini kilimuibua dada wa Taifa kwenye mambo ya Siasa na kuipinga Serikali ya V? Ulikuwa unamsikia wakati wa IV? Walikuwa kimya wanakulia kivulini.
 
Bila kuwataja itakuwa sawa na chai
 
Unaelewa maana ya sabotage? Unafikiri Serikali haijui nani yuko nyuma ya hii sabotage? Unafikiri nini kilimuibua dada wa Taifa kwenye mambo ya Siasa na kuipinga Serikali ya V? Ulikuwa unamsikia wakati wa IV? Walikuwa kimya wanakulia kivulini.
Dont argue such low!
 
You said it wisely.

You have just said it all.

If you see things differently, if you see things with bigger picture, there is no light at the end of the tunnel.

The economy is going to stuck somewhere very soon.

Lets play the game of wait and see what will happen
 
THANK YOU! πŸ™πŸ½ πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘ŠπŸ½πŸ‘πŸ½
I am not a reflection of wahuni, majizi na mafisadi wa ccm.
Neither do I
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…