Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
THE CHANZO: KIPINDI MAALUM MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA
Mtangazaji Khalifa Said si Mtangazaji ambae ningependa arudi tena kunihoji.
Kijana mdogo Khalifa ni sawa na bondia anaevurumisha ngumi nzito, "combination," za "jabs na upper cuts," mfululizo bila kupumzika.
Ngumi zote hizi nzito zikitua kichwani na usoni kwangu.
Kiti nilichokalia nilihisi kama kimekokewa moto chini yake.
Sijapata kupatwa na kimulimuli kinacho pofua macho kama hiki.
In Shaa Allah tusubiri Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika kipindi kitakaporushwa.
Mtangazaji Khalifa Said si Mtangazaji ambae ningependa arudi tena kunihoji.
Kijana mdogo Khalifa ni sawa na bondia anaevurumisha ngumi nzito, "combination," za "jabs na upper cuts," mfululizo bila kupumzika.
Ngumi zote hizi nzito zikitua kichwani na usoni kwangu.
Kiti nilichokalia nilihisi kama kimekokewa moto chini yake.
Sijapata kupatwa na kimulimuli kinacho pofua macho kama hiki.
In Shaa Allah tusubiri Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika kipindi kitakaporushwa.