The Chanzo: Mikoa inayoongoza Tanzania kwa watu kujisaidia vichakani, porini na baharini

The Chanzo: Mikoa inayoongoza Tanzania kwa watu kujisaidia vichakani, porini na baharini

DreezyD98

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2020
Posts
1,610
Reaction score
2,874
1000323988.jpg

Mikoa yenye idadi kubwa ya kaya zinazojisaidia vichakani, porini na baharini (hazina vyoo).

Asilimia ya kaya kati ya kaya zote katika mkoa husika zinazojisaidia vichakani n.k


1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

The Chanzo
 
Hili nalo mkalitizame. Acheni kuwa vyura viziwi, mnahatarisha afya zenu.

1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

20240715_201643.jpg
 
View attachment 3043360
Mikoa yenye idadi kubwa ya kaya zinazojisaidia vichakani, porini na baharini (hazina vyoo).

Asilimia ya kaya kati ya kaya zote katika mkoa husika zinazojisaidia vichakani n.k


1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

The Chanzo
Huko Pemba wajengewe vyoo, kipindupindu kitawamaliza.
 
View attachment 3043360
Mikoa yenye idadi kubwa ya kaya zinazojisaidia vichakani, porini na baharini (hazina vyoo).

Asilimia ya kaya kati ya kaya zote katika mkoa husika zinazojisaidia vichakani n.k


1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

The Chanzo
Mbona Dar kila sehemu kuna mikojo lakini haimo, ukweli Dar inaongoza labda tu kama kukojoa hovyo sio kujisaidia.
 
Back
Top Bottom