The Chanzo: Mikoa inayoongoza Tanzania kwa watu kujisaidia vichakani, porini na baharini

DreezyD98

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2020
Posts
1,610
Reaction score
2,874

Mikoa yenye idadi kubwa ya kaya zinazojisaidia vichakani, porini na baharini (hazina vyoo).

Asilimia ya kaya kati ya kaya zote katika mkoa husika zinazojisaidia vichakani n.k


1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

The Chanzo
 
Hili nalo mkalitizame. Acheni kuwa vyura viziwi, mnahatarisha afya zenu.

1. Kaskazini Pemba - 30.9
2. Kusini Pemba - 19.8%
3. Manyara - 17.3%
4. Arusha - 15.3%
5. Mara - 15.3%
6. Tabora - 13.6
7. Simiyu - 9.1%
8. Kaskazini Unguja - 8.7%
9. Shinyanga - 8.3
10. Singida - 7.9%
11. Tanga - 7.3%
12. Katavi - 7%
13. Kaskazini Unguja - 5.5%
14. Dodoma - 5.3%
15. Geita - 5.2%

 
Huko Pemba wajengewe vyoo, kipindupindu kitawamaliza.
 
Mbona Dar kila sehemu kuna mikojo lakini haimo, ukweli Dar inaongoza labda tu kama kukojoa hovyo sio kujisaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…