The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Are you sure mzabzab was at this meeting?Men have decided the juice is not worth the squeeze anymore
Hatuoi...ni mwendo wakugegeda tuuAre you sure mzabzab was at this meeting?
Hatuoi...ni mwendo wakugegeda tuu
Kama kuoa basi tutaoa wake wawili kwenda juu lakini sio eti ukae n chakorii peke yake, mwanzo wa kutangulia kaburiniMtaoa tu
Kama wewe hutaki kukaa na chakorii pekee Yake basi na mimi sitaki kukaa na mzabzab pekeyake.Kama kuoa basi tutaoa wake wawili kwenda juu lakini sio eti ukae n chakorii peke yake, mwanzo wa kutangulia kaburini
Haya sasa ndio maneno, yaani tukikubaliana kushare mbona dunia itakuwa paradiso.Kama wewe hutaki kukaa na chakorii pekee Yake basi na mimi sitaki kukaa na mzabzab pekeyake.
Walahi mtafika mbinguni na majeraha mengi mno🤣
Naona kama ulipokuwa unaandika hii ulikunja na ndita kibisa...Straight on,
Because Im afraid, if am allowed to say, then very bluntly put, most women today are full of crap, lie, are manipulative, are incredibly narcissistic, unbelievably superficial, fake, fickle, materialistic to a fault, unrealistic, silly and selfish, self centred and never think of what they can bring to the table for a man- aside from sex (if even that).
Men have decided the juice is not worth the squeeze anymore. That's why. Team JF feminist squard karibuni kwa mjadala cariha Nakadori Rebeca 83 to yeye Mzigua90 Miss Natafuta JOANNA et el
: pay me later
Hakyamama tena kichwa yako ni mbovu mzabzab 🤣🤣🤣🤣🤣Haya sasa ndio maneno, yaani tukikubaliana kushare mbona dunia itakuwa paradiso.
Mie wala sina pingamizi kama unataka kwenda kuonja de libolo zingine. Furahia maisha bwana kama de libolo lingine linaweza kumwagilia moyo basi mie nani wakukuzuia
Wala sio mbovu...ni ukweli huo kwani sasa wewe hujashare de libolo? Tuache wivu wakijingaHakyamama tena kichwa yako ni mbovu mzabzab 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani de libolo ni nini kwanzaWala sio mbovu...ni ukweli huo kwani sasa wewe hujashare de libolo? Tuache wivu wakijinga
The one eyed milkman😜Kwani de libolo ni nini kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unaumwa weweThe one eyed milkman😜
Piga mashine,ikipata mimba,subili ajifungue,ikiwa ni WA kwako,weka ndani,maisha yaendeleeHatuoi...ni mwendo wakugegeda tuu