Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,510
Kipaumbele chetu ni kununua bombadia badala madawa. [HASHTAG]#Magufuliisboundtofail[/HASHTAG]Tanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
taja kipaumbele cha awamu ya tanoTanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
[HASHTAG]#magufuliisboundtofail[/HASHTAG]Kipaumbele chetu ni kununua bombadia badala madawa. [HASHTAG]#Magufuliisboundtofail[/HASHTAG]
hahaaaaThe Rise and fall of JPM empire
Reasons;
........
.......
.......
Usiibe mtihani kama JM aka marope
Una uhakika na unachokisema?[emoji41]Hatuwahitaji hao jumuiya ya kimataifa, hawawezi kutupangia nini cha kufanya
Tanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
Hatuwahitaji hao jumuiya ya kimataifa, hawawezi kutupangia nini cha kufanya
Wajinga kweli nyie, you're not different from faeces, nchi inasaidiwa kila kitu, kila Siku ni kuomba Msaada Kwa wahisani halafu mnaleta kibesi hapa.Nawashangaa hawa the Mburulaz wanakazana kuwakumbatia wakuja ilhali kiongozi shupavu tunaye
UKAWA bwanajumuiya ya kimataifa imeshamstukia, kwamba atashindwa tu katika kila apangalo
Haaaah wakati mlipewa na mabwana misaada ya kagera na mkatia mfukoni....Tanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
tayari kafeliTanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
taja kipaumbele cha awamu ya tano
taja vipaumbele,usikurupukeAwamu ya tano inaendeleza vipaumbele vya awamu iliyopita na kuna vipaumbele vyake kama ulifuatilia kampeni utakuwa uliyasikia, na unapaswa kujua umeme vijijini unasambazwa sana so is infrastructure na kadhalika. Utafeli wewe mwenyewe.
We mtu wacha upashkuna wa kike ,akikwambia thibitisha kama anajiuza utaweza?Hahahahahaaaaaa! Unakaa na kumshadadian huyo Mange ambaye anaishi Marekani kwa kuuza mwili wake? Sitegemei kwa mtu mwenye akili timamu akamshabikia huyo kiumbe ambaye kwake ufahark ni kuzaa na wazungu