Mimi siamini kwenye kuamini.
Sina imani ya dini yeyote ile.
Sina imani ya Mungu wala Miungu.
Sina imani ya Shetani, majini, mapepo, mizimu, wachawi.
Sihitaji kuamini, Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
#haya maneno wanayatumia sana watu waliofanikiwa kupitia huko ili kukuogopesha wwNi bora kuwa tapeli kuliko hyo dark side of buss.....
mwanzo unaanza kujiingiza huko kwa mashart mepesi ila muda unavyozidi kwenda mashart yanakuwa magumu zaidi.
Mimi sibishani.#uko sahihi kabisa_wanaobishana naww wao ndo hawana akili
#hoja kama hio majibu yake nimarefu sanaMimi sibishani.
Ila najenga hoja kwamba,
Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina kwa nini mtu asiutumie kwa nguvu zake zote awazidi au angalau basi awafikie matajiri wakubwa duniani kama kina Elon musk, Jeff Bezos, Warren Buffett?
Toa kafara za kutosha ikiwezekana hata ukoo wako mzima kama kweli utaweza hata kumzidi Elon musk, na kama kweli kuna utajiri wa kishetani.
Sio marefu kama kweli kuna utajiri wa kishetani ile orodha ya Forbes waafrika wangejazana pale.#hoja kama hio majibu yake nimarefu sana
Awapo Kwa 7bu ata hyo dark side Ili uwe juu zaid inahtaj talent na creativity Ili uongeze kipato Kwa sababu wao wanakupa mvuto wa wateja au wafuasi lakn pia itahtaj talent yako au elimu na creativity yako Ili kukua zaidi most of Africans they engeged on it but they have poor creativity and IQSio marefu kama kweli kuna utajiri wa kishetani ile orodha ya Forbes waafrika wangejazana pale.
Tajiri wa Afrika alikuwa ni Mansa Musa tu.
Hawa matajiri wa kiafrika wanaojidai kuna utajiri wa kishetani ni makapuku tu wanalishana matango pori, wala hawana kitu.
Ukidai kuna utajiri wa kishetani utumie kwa nguvu zako zote walau basi uwe kama Dangote
Hakuna tofauti broo,Hizo ni taratibu za wachina za ibada,
Wana imani zao zilizo tofauti na zetu.
Hapo wanaongelea magic and witchcraft, kwa hiyo uchawi umo.Ni ile stage magic ya kufurahisha watu, ya kisanii, mnaita mazingaombwe...
Haupo wapi?Uchawi tunaoongelea hapa, wa kukupa utajiri, kufanya matatizo yako yatoweke, haupo ndugu...
ndio situation niliyonayo sasa hivi..mishale ni kibao nimemwelewa ila ujasiri wa kwenda upande wa pili ndio shida...Binafsi nilishawahi kufanya biashara namuelewa sana mtoa story. Hakuna kitu kinampa stress mfanyabiashara kama biashara ilikuwa inafanya vizuri halafu ghafla ikaanza kufilisika.
Anasema kwa niaba ya wengi huku.
Kwani wewe una uhakika Gani uliowataja hawatoi kafaraThe issue is very simple.
Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini waafrika watanzania wasiutumie kwa nguvu zao zote wawazidi matajiri wakubwa duniani kama kina Elon musk, Jeff Bezos, Billgates, Warren Buffett n.k
Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Toeni makafara ya kutosha tuone kama mtaweza hata kumfikia Mo Dewji kwa utajiri.
Kwa nini muandikie mate na wino upo?
Kama kweli kwa hakika, Kuna utajiri wa kishetani kwa nini mtu hautumii kwa nguvu zake zote awazidi matajiri wakubwa duniani kina Elon musk?
Au basi angalau afikie level zao kwa huo utajiri wa kishetani.
Bar mighardam......Muendelezo vip mpaka lini????
Huu upande wa pili si wa kupita,kwasababu kuingia ni rahisi lkn kutoka ni kipengele,soma hii story mpk mwisho uone nilitokaje....ndio situation niliyonayo sasa hivi..mishale ni kibao nimemwelewa ila ujasiri wa kwenda upande wa pili ndio shida...
Nimesema uangalie then tujadili jambo,Sasa vichwa vya ng'ombe kuwekwa juu ya meza, vitu walivyochoma moto ni mila, desturi au tamaduni zao tu.
Si kwamba eti kufanya hivyo ndio kutasaidia kiwanda kifanye kazi kwa ufanisi au kwamba kiwanda ndio kizalishe sana.
Hapana.
Watu wanajitoa tu ufahamu, Haya mambo ni worldwideDuh,
Nimeona hiyo clip.
Halafu kuna watu hudhani Waafrika pekee ndo wana hayo mambo, kumbe hao weupe huyafanya wazi wazi hadharani.
View: https://youtu.be/eAtLfFo_KaY?si=UCuseL5Fb3jvY1MyInfropreneur
mshamba_hachekwi
Haujajibu maswali yangu mkuu, rudia kusoma unijibuUchawi ungekuwepo tungekuwa tunautumia sana kama vile tunavyotumia tiba.
Kitu kinachorahisisha maisha namna hiyo kisingeweza kubaki mikononi mwa wachache...
Yaani kusingekuwa na haja ya kubishana kama tunavyofanya hapa.
Na pia uchawi una mapokeo tofauti kwenye kila jamii. Mfano ulaya hakuna uchawi wa ungo... Africa hakuna stori za werewolves... hilo linathibitisha kabisa uchawi ni nadharia za kizamani.
leo ndo ijumaa shusha mzigo wote mkuuHuu upande wa pili si wa kupita,kwasababu kuingia ni rahisi lkn kutoka ni kipengele,soma hii story mpk mwisho uone nilitokaje....