The dark side of general Mabeyo


Kumbe......

Mzilankende , Jiwe, Chuma
 
What if he is the man who closely was involved in what Nyani Ngabu asked in his topic fixed?
Remember the topic?
 
You gotta show him/proof the so called "polluted vapor", All what he said co related to what happened during the dark days of Magufuli.
 
To sum up, there are rifts of great security threats that occurred in our country during his tenure as CDF. For that matter, he offered nothing special rather than protecting Interests of his master.
Would you have done any different had you been in his position?
He was CDF but he was not the entire army. Let's not pretend not know the extent of power most African leaders have.
Had he defied the authority, worst things would have befallen him; at what expense?
He did what he had to do and has left service with his honor intact, the rest is history.
 
Hakuna mtu aliyeharibu nchi hii kama Jiwe ikiwa ni pamoja na kuirudiasha nchi enzi za ujima. Kaua watu wengi sana ukiachilia mbali uongo wake pamoja na wizi. Thanks God kwa kutuondolea lile jibwana
Mzilankende
Akitokea Buzilayombo
 
Unajua kazi za kijeshi alizofanya CDF? Mpaka useme unampa credit tu wakati Rais Samia anaingia madarakani?
 
Sijaelewa hapa mkuu
 
Asante kwa maelezo mazuri sana zyaliyojaa ukweli yasiyotia shaka.

Na ndiyo maana Samia na wafuasi wake wanampa sifa nyingi sana.
 
Mabeyo kusifiwa Luna watu wanapata Kiungulia
 
You're Hopeless and a Hypocrite.
Matusi haya boss. Kwann usijikite kwenye kujibu hoja? Au hoja imekuzidi amri na akili?

Ni vema ukawa unashinda Facebook huko ambako wanakupa sifa za hovyo.
 
So was Samia and everyone else whom are currently still here...... Did they Care ? (Not for me to judge) but am just reminding you if you have enough blames to spread around you should not pick and choose but rather spread it all over the place from the current commander in chief down to all others who have now become cheerleaders...

But the truth remains for a Sitting President to pass away is not a small matter..., and in this I praise all Tanzanians for being mature enough and take things like civilized people, Hell could have easily break loose...., or the Army taken advantage so as to be licking the Honey which is currently being licked by other bunch...
 
Hakuna mtu aliyeharibu nchi hii kama Jiwe ikiwa ni pamoja na kuirudiasha nchi enzi za ujima. Kaua watu wengi sana ukiachilia mbali uongo wake pamoja na wizi. Thanks God kwa kutuondolea lile jibwana
Alimuua nani, weka ushahidi wa hilo hapa ili na sisi tuamini alimuua nani
 
Asante kwa maelezo mazuri sana zyaliyojaa ukweli yasiyotia shaka.

Na ndiyo maana Samia na wafuasi wake wanampa sifa nyingi sana.
Ni bahati ilimwangukia, gen Mabeyo atakula maisha sana kipindi hiki cha utawala wa mama Samia.


JESUS CHRIST is LORD and SAVIOR
 
Anza na kumtafuta Azori
Umejibu nini sasa mshamba mkubwa, una ushahidi wa muuaji ni yeye, swala kifo kuuawa ni matukio mangapi yanatokea duniani kote? Swala la fulani alimuua fulani ni mihemko yenu tu ya kisiasa au kikanda na halina ukweli wowote zaidi ya watu kama wewe kuropoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…