1.Asilimia zaidi ya tisini ya Lecturers ni Wahindi toka Tamil Nadu na hakuna Professor wala PhD holder hata mmoja chuo kizima
2.Dress Code:Round colar Tshirts for men haziruhusiwi,sleeveless shirts for girls not permitted
3.Ni Chuo cha elimu ya juu pekee kinachotumia kengele kumeneji muda !!
4.Attendace:kwenye Kila kipindi Lecturer huita majina na wanachuo hawa huwajibika kuitika "present"
5.Huruhusiwi kuingia kwenye kipindi baada ya kengele kugonga..
6.Mwanachuo hulipia fedha ya mtihani(UE) kila semester including supplementary exams ambayo kila mmoja ni sh.7500(kwa kawaida kila semester ina subjects 6)kumbuka hii ni mbali kabisa na Ada
7.Kila mwaka wa masomo mwanachuo hutakiwa kulipa shilingi laki moja(100,000) kwa ajili ya stationary.Stationary zenyewe ni counter books 6 na notebooks zingine mbili kwa ajili ya lab works (per semester).Vilevile hii ni nje kabisa ya tuition fee
8.Masomo huanza saa mbili mpaka saa kumi..break kwa ujumla ni saa moja na nusu!!
9.Jambo jingine muhimu ni kuwa lecturers wana uWezo wa hali ya chini sana ambao ni miujiza kusema sentesi mbili sahihi za kiingereza
****************MNAKARIBISWA NYOTE************
2.Dress Code:Round colar Tshirts for men haziruhusiwi,sleeveless shirts for girls not permitted
3.Ni Chuo cha elimu ya juu pekee kinachotumia kengele kumeneji muda !!
4.Attendace:kwenye Kila kipindi Lecturer huita majina na wanachuo hawa huwajibika kuitika "present"
5.Huruhusiwi kuingia kwenye kipindi baada ya kengele kugonga..
6.Mwanachuo hulipia fedha ya mtihani(UE) kila semester including supplementary exams ambayo kila mmoja ni sh.7500(kwa kawaida kila semester ina subjects 6)kumbuka hii ni mbali kabisa na Ada
7.Kila mwaka wa masomo mwanachuo hutakiwa kulipa shilingi laki moja(100,000) kwa ajili ya stationary.Stationary zenyewe ni counter books 6 na notebooks zingine mbili kwa ajili ya lab works (per semester).Vilevile hii ni nje kabisa ya tuition fee
8.Masomo huanza saa mbili mpaka saa kumi..break kwa ujumla ni saa moja na nusu!!
9.Jambo jingine muhimu ni kuwa lecturers wana uWezo wa hali ya chini sana ambao ni miujiza kusema sentesi mbili sahihi za kiingereza
****************MNAKARIBISWA NYOTE************