The deadline is two weeks from first appearance of the advertisement

bagain

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
363
Reaction score
229
Wana JF,

Ni muda sasa nimekuwa nikiona matangazo ya kazi hasa ya serikali na taasisi zake yakiwa na deadline inayosema
" The deadline is two weeks from first appearance of the advertisement".

Je, kuna ugumu gani wa kuandika/kutaja tarehe halisi?

Mara nyingine matangazo hutolewa zaidi ya tarehe moja kwenye magazeti, je, hawaoni kuwa ni kuwachanganya wanaoomba kazi?

Je, haya matangazo wanapoyaweka kwenye websites zao bila la kuonyesha first date of advertisement hawaoni kuwa ni kuwachanganya waombaji?

Nawasilisha!
 
hizo huwaga ni mbwembwe tu ila hakuna sababu za kutokuweka tarehe ya date of advertisement na date of deadline na hii inatokana na na kazi nyingi zinakuwa tayari wameshaweka watu wao so wanafanya hivyo kama ushahidi tu
 
ngoja tusubiri kusikia toka kwa wahusika, naamini baadhi yao ni members wa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…