The Economist: Takwimu za Tanzania zina shida

Tupo msibani ,hii takataka tupa chooni
 
Inatosha tu kukufahamisha kuwa hadi hapa umeonyesha upuuzi wa hali ya juu katika mada hii.
 
Bajeti zote za Tanzania tangu enzi ya Malima ni magumashi.

Na hizo ndizo nilizozichambua tu. Huko nyuma sijapitia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…