vyuo vyetu ubabaishaji..hata UD ni chuo changu nimesoma lakini walimu hawafanyi research! Wanataka waitwe maprofesa bila kufanya utafiti..sasa huko UDOM ndo itakuwa balaa zaidi...
Tatizo kubwa wengi tunadhani University ni majengo na magari ya kifahari. University ni RESEARCH! na kama UD iki-invest katika research haina haja ya kushindana na mtu..matunda yanaonekana. UDOM ni kelele tuu za siasa..hawana lolote....hebu tuwekane sawa hapa....tuache kushabikia maneno..we need hivi vyuo vifanye utafiti. I repeat..publication records za walimu UD zimeshuka sana tena sana! Hivi UD wana Journals ngapi ambazo ziko internationally cited?? I doubt kama kuna publication za vitabu kama vitano kila mwaka pale UD....I am not sure...
Hivi kweli Kama ile taasisi ya Mkandara ya REDET ndo ilitoa ule utafiti wa juzi..kwamba JK atashinda kwa 71%...jamani mnadhani kweli wana credibility tena? I for one I used to respect Mkandara, but I am sorry to say, I no longer take him serious... Naona ni politician tuu mwenye njaa zake...
Huwezi kuniambia eti chuo hakina pesa wakati VC na maofisa wakubwa mnaendesha magari ya kifahari...why not use the money to buy books? Ok..hamuwezi tembea kwa mguu..basi nunueni magari cheap! Bongo siasa tuu.. hata hao wasomi unaowaona..ni waganga nja tuu..wanachumia matumbo yao... ...
JK...make use of them to get what you want and dump them! wamesoma lakini hawatumii akili zao..