The Financial Times laipigia debe Tanzania kwenye Utali, nini kimetokea?

Upigaji na masilahi yao Tanzania yapo salama sasa, lazima wamuunge mkono.
Duniani tunategemeana.....

Ni lini Tanzania ilikata mahusiano makubwa na dunia?!!!!

Ni lini tuliwafukuza mabalozi 10 na kuendelea ?!!!

Hivi umeona kilichofanyika ETHIOPIA nyumbani kwa mshindi wa tuzo ya amani ya NOBEL...mh.Abiy Ahmed kuwatimua mabalozi zaidi ya 8 kwa mpigo?!!!

Ila mh.Rais SSH ni mwelewa zaidi wa mambo ya DIPLOMASIA.....anazidi kutupaisha 💪👍😍

SIEMPRE JMT
 
Mama anatupaisha sana aise
 
Mkuu sisi tunataka Pesa ya Utali haya matamthilia hayatusaidii kitu tulishanyanyaswa yakapita

Hivyo muwe makini mnavyojiuza, kauli mbinu mnazotumia, uwakilishi wa vivutio n.k siyo kwenda bila kujua mna mkakati gani .

Historia huwa haisahauliwi bali inakukumbusha wende vipi karne hii , lugha, majina, vivumishi na maneno ya kigeni gani uyatumie kujitangaza ukiwa na mabeberu ktk biashara .
 
Nimekuelewa vizuri sana, Asante kwa input nzuri sana
 
Chief, Salama?
 
Rais SSH anafanya maajabu katika kufufua uchumi wa Tanzania kwa kuzi activate sekta nyeti. Hata hao wakosoaji wake WANAMKUBALI kimoyomoyo ila hawawezi kusema.

Samia anasema uRais siyo kufoka wala kutukana jukwaaani, bali ni akili, mipango na utendaji.
 
😍
 
Swali dogo wana nzengo.

Hivi mapato yatokanayo na utalii kule Ngorongoro au Ruaha National Parks Zanzibar wanagawio lao ndani ya mkate wa taifa kila mwaka?
.
 
Huko mbele kunakona ambayo Kama dereva Hana uzoefu nilazima tutapiga mbande haswaaa, na kibaya Zaid hatutakuwa na wakutusaidia
 
*Someone somewhere has sold the Tanzanian sovereignty wealth for the elites financial gain that is why they are committed to drum up fake reputation as compared to the past five years when they chose to act adversely for being denied access to squander its wealth. Alas!!!
 


Mabeberu Hayatupendi

BWANA Bure Hayupo Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
 

Tumechoka ukoloni wa Tanganyika , tuwacheni tupumue hatutaki kuvurugiwa nchi yetu , inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…