The Financial Times laipigia debe Tanzania kwenye Utali, nini kimetokea?

Make people working for you feel like working with you. Si unaona umefurahia bila sababu?
 
Tumechoka ukoloni wa Tanganyika , tuwacheni tupumue hatutaki kuvurugiwa nchi yetu , inatosha
Tumekuteua lini uwe msemaji wa watanganyika sote?!!!!!

Jisemee nafsi yako....

SIEMPRE SERIKALI MBILI ZA JMT💪
 
Tumekuteua lini uwe msemaji wa watanganyika sote?!!!!!

Jisemee nafsi yako....

SIEMPRE SERIKALI MBILI ZA JMT💪

Tulia usome vizuri nimeandika kitu gani au ulitaka kumjibu mtu mwengine,?
Mimi sijawa msemaji wa Beberu Tanganyika hata siku moja.

Serikali ni mbili ya Tanganyika Na Zanzibar hayo mauzauza yana mwisho wake.

Na yako karibu kutoweka
 
Si mmeanza kujipendekeza kwa Mabeberuu na wamewashika papaya
 
Tulia usome vizuri nimeandika kitu gani au ulitaka kumjibu mtu mwengine,?
Mimi sijawa msemaji wa Beberu Tanganyika hata siku moja.

Serikali ni mbili ya Tanganyika Na Zanzibar hayo mauzauza yana mwisho wake.

Na yako karibu kutoweka
🤣🤣🤣
Sawa.....

Nchi yenu Zanzibar iko ndani ya Muungano....anayetaka kuuvunja atavunjika yeye......

#Siempre Serikali Mbili Za JMT💪
 
🤣🤣🤣
Sawa.....

Nchi yenu Zanzibar iko ndani ya Muungano....anayetaka kuuvunja atavunjika yeye......

#Siempre Serikali Mbili Za JMT💪

Huo ni uvamizi uliopewa jina la Muungano.

Yajayo yanatia tamaa .

Beberu Tanganyika linaanza kutokwa Na manyoya, ndevu ndio tumeshazikata, aluta continua
 
Kipindi cha chuma chuma
Sasa ivi husikii tena Jina beberuu.

Na wamekuja wengi Ikulu
Kama like Beberu Jeuri Tonny Blair
Unajidanganya ili iweje?!!

Kwa hiyo kipindi cha El Comandante JPM(Rip) alifukuza mabalozi?!!



Alifukuza NGOs?!!

Serikali haikuwa ikikopa?!!

Aliipa mgongo WB na IMF?!!!

SIEMPRE JMT
 
Kipindi cha chuma chuma
Sasa ivi husikii tena Jina beberuu.

Na wamekuja wengi Ikulu
Kama like Beberu Jeuri Tonny Blair

Mabeberu yapo Tanganyika, wengine dollar milioni 2 wanaita vijisenti
 
Mkuu,
Tofautisha taasisi za Kimataifa za Fedha ambazo tunakuwa tunakopa kwa kufuata taratibu
Na akina Beberu Jeuri mkuu.
 
Hawa jamaa hata kuwajibu tu inachosha sana
Hakika mkuu wangu...

Ila hatuna budi kuwajibu....kwani "tukiwachoka" ni dhahiri watawafungisha tela "wajinga"...🤣🤣

Siempre JMT
 



Tony Blair yupo kazini wengi hamjamuelewa Raisi Samia fungueni macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…