Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
wanagusa vionjo vyetu pia..............
Mada zao zinaibua mjadala na zinajadilika na zinakufanya ufikirie kabla ya kujibu na ujibu kulingana na mada halisi
Japo hatusemi wengine hawana mada za kujadili ila thread zao nyingi kwa kweli ni changamoto
Nimefanya observation nikagundua kwa kiasi kikubwa mara kwa mara hawa members wakianzisha thread hapa MMU zinachangiwa sana, sasa huwa najiuliza swali ni kwa kuwa wanafahamika kwa members wengi hapa au thread zao zinakuwa na mvuto sana kiasi kwamba zinakuwa na wachangiaji wengi???
hahahahahaaa!!!!Nilion mada ya mwanajamii juzjuz alikuwa anajitahidi kumjibu kila mtu anaechangia nahisi hiyo pia inakufanya ujisikie kupost na kupost, sasa wengine wakipost naona hadi page ya pili mwenye thread haonekani, waiii ya nn sasa
Mada zao zinaibua mjadala na zinajadilika na zinakufanya ufikirie kabla ya kujibu na ujibu kulingana na mada halisi
Japo hatusemi wengine hawana mada za kujadili ila thread zao nyingi kwa kweli ni changamoto
Ni kweli na kizuri zaidi huwa hawakimbii threads zao, wanajibu au kumuuliza mtu swali kitu ambacho kinaendeleza mijadala na kuibua ideas nyingine pia!
^WIVU huo!
Mada zao zinaibua mjadala na zinajadilika na zinakufanya ufikirie kabla ya kujibu na ujibu kulingana na mada halisi
Japo hatusemi wengine hawana mada za kujadili ila thread zao nyingi kwa kweli ni changamoto
Ha ha ha Apollo mubaya wewe
kweli kabisa na kama sio za kujadilika hutengeneza kijiwe kizuri cha kuchati humo.