The Finest...Wewe ni kiboko, hongera sana!

Hivi kuna tofauti gani kati ya JF SENIOR EXPERT MEMBER na JF PREMIUM MEMBER?kama JF PREMIUM MEMBER ni cheyo kikubwa kuliko JF SENIOR EXPERT MEMBER,basi itakuwa wakati muafaka wa kumtunuku FINEST cheyo hiki?au sifa hazijatosha?
 
nimepitia mwembechai kwa yule mpemba kesha maliza hapa nasubili paja la tetea wa kienyeji mkuu

kwani haukupita kwa bonge pale afrika sana kuchukua wale kuku wa kuzunguka
 
nahisi kaka anakeshea humu...

Kweli mkuu. Yaani ni ngumu kujua anaandika saa ngapi na anaandika nini?

But amepiga speed ya kutisha! Anastahili pongezi. Labda wapwa watasema ni jinsi gani tunaweza kumpatia juice leo!
 
hivi kuna tofauti gani kati ya jf senior expert member na jf premium member?kama jf premium member ni cheyo kikubwa kuliko jf senior expert member,basi itakuwa wakati muafaka wa kumtunuku finest cheyo hiki?au sifa hazijatosha?

mkuu sijapata muda wa kutuma mchango wangu kwa ajili ya jf ili nipate status ya jf premium member
 
kweli mkuu. Yaani ni ngumu kujua anaandika saa ngapi na anaandika nini?

But amepiga speed ya kutisha! Anastahili pongezi. Labda wapwa watasema ni jinsi gani tunaweza kumpatia juice leo!

dc juice aina ya courvesier
 
Hivi kuna tofauti gani kati ya JF SENIOR EXPERT MEMBER na JF PREMIUM MEMBER?kama JF PREMIUM MEMBER ni cheyo kikubwa kuliko JF SENIOR EXPERT MEMBER,basi itakuwa wakati muafaka wa kumtunuku FINEST cheyo hiki?au sifa hazijatosha?
Hapo kwenye bold unamaanisha tumtunuku u-UDP au nini mkuu!

By the way, TF anajikoloni mwenyewe!~
 
Hii inammanisha mkwe wangu hufanyi kazi naanza kuona dalili za mwanangu kuwa anafata matumizi nyumbani kwa siri.
Hongera sana mkwe wangu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…