The Finest...Wewe ni kiboko, hongera sana!

du, umenikumbusha mbali sana kaka!kipindi naskull pale moro kadigirii!kahumba na chipukizi aminiaaaa Baba Enock

Umesahau na Moro Night - Baa ya yule Mama alikuwa Sinza anaendesha Volcano Bar mitaa ya kijiweni!!!
 
dah Mpwa TF kama kawaida upo juu...keep it up!
 
hongera Mkuu TF. Punde utaanza kuwapumulia wakongwe na vikongwe wa JF
 
dada cheusi mie sina maana hiyo ya kisodo na gomo, wakongwe akina NN, FIDEL, ASPRIN, TEAMO, KAIZER na wengineo wasijenicharukia hapa

ok,
sasa ulikua unamaanisha nini ili hata wenyewe hasa babu wakija wajue ulichomaanisha.
hilo neno kupumua ulilitumia kumaanisha nini ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…