The fraud behind onyxcoin from kwakoo group(kenya)

Muamu3

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,708
Reaction score
4,531
Hodii wanajamiii forum leo ntaka kujua hii coin iliishia wapi na waafrika wengi waliwekeza kumbe ni utapeli inaitwa onyxcoin ilianzishwa na kwakoo group ya kenya chini ya Anthony saint muzungu na wengine kama eng. Gideon wanyoike mi miaka mitatu haina matumainj kama watu wakivyodanganywa


Logo ya coin yenyewe hiyo



Mwanzilishi anthony saint muzungu aliyedanganywa watu alikusanya kama $3.5
 
Sasa mali ya mengi mtataifisha? Wachaanga niwashapa kazi.Arabs and wahindi are the bosses of ccm
 
Sidharau nchi za Africa lakini hata siku moja siwezi invest hata cent yangu kwenye coin yoyote iliyoanzishwa na mu-Africa...Africa janja janja nyingi sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…