The future Messi? And he's black!

Hatatokea mchezaj like mes labda baada ya miaka 200. ukianzia kiwango chke staili yke ya uchezaj had recod zke ni vigumu kuclose kwa mchezaji yeyote.

Binafsi naemuona atakuja kuwa mkal baada ya kustaafu messi ni PAUL DYBALA pekee hili toto achananalo.lakin sio kwamba atafanana na messi never. Messi kitu ingine bana.
 
kweli chief, "god" Messi hakuna mwanadamu atakayeweza kuja kumfikia - watu wataishia kucheza vile kwenye playstation tu!
lakini huyu dogo naye anaonekana hayupo vibaya - akija kuwa nurtured vizuri anaweza akamkaribia akafikia walau 75%.
 
Wa kumrithi messi hataonekana ovyo

Ataibuka gafla

Wameshatabiliwa wengi wa kumrithi mess lakini huwa wanaishia njiani


Hao madogo ka dembele wapo wengi tu Ulaya ktk acardemy zao


Hata pale arsenal kuna mtoto mkali kuliko hata huyo dembele


KUNA MTOTO ALIIBUKA LAMASIA ANAITWA BORJAN KRIKIK alikuwa hatari na akatabiliwa kuwa ni Messi mpya ,


UNAJUA ALIKOPOTELEA?

KUNA WACHEZAJI WENGI ZAIDI YA HUYO DEMBELE LKN HATA ROBO YA MAFANIKIO YA MESSI PALE LAMASIA SIO BARCA YA WAKUBWA , HAWAJAMFIKIA ,


NDIO MAANA NAAMINI ITACHUKUA MUDA KUMPATA PLAYER LIKE LAPULGA MESSI


TENA ATAIBUKA KUSIKOJULIKANA,SIO WA KUIBULIWA NA MEDIA
 


Umemaliza kila kitu,mawazo yako na yangu yameendana sawa....ngoja nitoke kwanza, then nikupe Bonge la LIKE.....
 

Nadhani hii comment ulikuwa na bluetooth ukaichukua kutoka kichwani mwangu ukaiweka hapa jf,umemaliza kila kitu nimewaza umeandika,kweli kabisa walitabiriwa wengi kuwa watawika lakini hakuna anayejua walikopotelea,japo naamni vyombo vya habari vinachangia kuwaharibu.
 
Sikubaliani na wanaosema hakuna mtu atakaye kuja kumfikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…