The Godfather ya Mario Puzo

The Godfather ya Mario Puzo

Mi nnazo zote tatu. Pary one mpaka part three. Tokea mwanzo wa Vito Antonio Andorlini ambae origin yake ni a small town of Corleone in Italy. Kaka yake na mama yake waliuwawa na mafia boss mmoja ambae Vito alivoanza Biashara na kuanzisha kampuni ya Genco Imports iliyokuwa inatoa Olive oil Italy na Kuuza America, Alikipiza kisasi kwa kumuua huyo Mafia boss by then akiwa mzee sana. Vito alifariki akiwa anacheza na mjukuu wake kwenye bustani ya nyanya. Mjukuu huyo alikuwa mtoto wa Michael Corleone ambae ndio aliyerithi u Don kwenye family.
 
Kitu Luca brass, funaci, the tatanglia family, peter clemenza, tesio, na misemo ya don: a man who does not take care of his family is not a real man.
hapo alikuwa anamwambia godson wake johny fontane,movie star!
 
wakati kina michael wanapanga kwenda kumua mkuu wa polisi ,wakamtuma jamaa akaweke bunduki chooni ,sasa sikiliza hayo maagzo'nataka ukaweke hyo bunduki kule chooni.sitaki kaka yangu atoke kule huku ameshika dushelele lake tu'
 
Mi nnazo zote tatu. Pary one mpaka part three. Tokea mwanzo wa Vito Antonio Andorlini ambae origin yake ni a small town of Corleone in Italy. Kaka yake na mama yake waliuwawa na mafia boss mmoja ambae Vito alivoanza Biashara na kuanzisha kampuni ya Genco Imports iliyokuwa inatoa Olive oil Italy na Kuuza America, Alikipiza kisasi kwa kumuua huyo Mafia boss by then akiwa mzee sana. Vito alifariki akiwa anacheza na mjukuu wake kwenye bustani ya nyanya. Mjukuu huyo alikuwa mtoto wa Michael Corleone ambae ndio aliyerithi u Don kwenye family.

Vincent, ambaye alikuwa mtoto wa marehemu Soni ndiyo aliyerith u-don toka kwa Michael, mtoto wa Michael yeye hakutaka kabisa kujihusisha na mambo ya biashara zao.
 
vincent, ambaye alikuwa mtoto wa marehemu soni ndiyo aliyerith u-don toka kwa michael, mtoto wa michael kujihusisha na mambo ya biashara zao.

sony alikua mtata kama don. Alimpa kichapo heavy shem yake.
 
Terminologies kibao: going to the matress, doing the job on ..., breaking the bone
 
Terminologies kibao: going to the matress, doing the job on ..., breaking the bone

pia kuna sehemu Don mwenyewe aliwambia vijana wake wapande pilipili nyingi kwenye bustani -- hapa alikuwa anawaelekeza wafanye recruitment tayari kwa final assault
 
Vincent, ambaye alikuwa mtoto wa marehemu Soni ndiyo aliyerith u-don toka kwa Michael, mtoto wa Michael yeye hakutaka kabisa kujihusisha na mambo ya biashara zao.

yeah, mtoto wa Michael alipenda sanaa za maonesho zaidi!
 
wewe ulikuwa adopted toka wapi? ulikuwa unaishi na kina sony au!
Consigliere ni mtu muhimu sana katika kila Familia, na kila familia ilikuwa na wa kwake, ndiye mshauri na the right handman of the Don,projects na activities zote ni lazima ziwe reviewed naye.
 
"the problem of my sons is that, they talk when they are supposed to listen and they keep silence when they are supposed to talk" Don

hapa ni baada ya Sony kuonyesha pupa ya kuongea wakati ile family nyimngine ilipokuja kujifanya wanataka muafaka baina ya families mbili hizi zilizoingiliana maslahi.


Posted from my Nokia tochi, black & White.
 
Back
Top Bottom